Inawezekana kweli kwani dini yake ambayo ameamua kuipigania kwa gharama yoyote inamruhusu kuoa hata wake 50.............kwani salma anajua?...angalieni asije akapasuka moyo mkiwataja na mkija na details zote
Sofia Simba and Daughters ni wake zake.
Malaria Sugu and Sons ni wake zake.
Zakhia Meghji and Daughters ni wake zake.
VK ni ........................
Salma ni mke wake.
Hizo ndiyo data nilizo nazo.
watoto wa zakhia wa kike ni wawili jamila na salama na wote wameshaolewa harusi zao zilifanyikia golden tulip labda awe kaoa mtoto wa ndugu na jamaa
Safari- Kikwete ana watoto nane, salma kazaa nae watano na mke wake wa kwanza aliyeachana nae kazaa 3, Ridhwan,
salama na Halifa
Hao watano wengine ni wa mama salma, na wakwanza kwa mama salma yupo form VI... ninavyofahamu mimi
Mbaya zaidi wanalawiti watoto...
Hizi imani nyingine bwana full magumashi!
Dini gani hyo mkuu inaruhusu kuoa wake 50?