Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Lipi au yapi ni sahihi katika sentensi zifuatazo, naomba msaada kufahamu matumizi fasaha tafadhali.
--- Waziri ameapishwa na Rais
--- Waziri ameapizwa na Rais
--- Waziri atamwapisha katibu wake
--- Waziri atamwapiza katibu wake
Akhsanteni.
SteveD.
--- Waziri ameapishwa na Rais
--- Waziri ameapizwa na Rais
--- Waziri atamwapisha katibu wake
--- Waziri atamwapiza katibu wake
Akhsanteni.
SteveD.