GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Sababu mojawapo iliyosaidia Korea Kusini kuendelea ni viongozi wake kutambua mapema walichokuwa wanakihitaji na kutumia kila fursa waliyoipata kuifukuzia. Inawezekana, hata sisi tungefanya kama wao, nchi yetu ingekuwa kama yao, au zaidi.
Hilo ndilo limenipelekea kufikiria kuwa ikiwa tutawaazima baadhi "yao" watusaidie kuongoza baadhi ya Wizara kwa muda, inaweza ikatusaidia?
Kama hilo lingewezekana, ningependekeza yafuatayo.
1. Nafasi ya Uraisi, Umakamu wa Rais, na Waziri Mkuu wasipewe wageni.
2. Wizara zote isipokuwa ya Ulinzi, Mambo ya Ndani, na ya Katiba & Sheria isiongozwe na wageni.
3. Wizara zingine zote zilizobakia, Waziri wake na Katibu Mkuu wawe wageni, ila nafasi zilizobaki kama Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu ndiyo ishikiliwe na Watanzania.
4. Utaratibu huo ungetumika kwa miaka mitano au kumi tu. Baada ya hapo, wageni wote wtarudi kwao.
Zifuatazo ni Wizara na Mataifa ambayo watu wake wangepewa hizo fursa ya uongozi wizarani kama Waziri na Katibu Mkuu:
1. Elimu - Finland
2. Kilimo - Muisraeli
3. Viwanda - Japan/ South Korea
4. Uchumi, Mipango na Uwekezaji - Msingapore
5. Sayansi na Teknolojia - Mkorea Kaskazini/ Muiran/ Mrusi
6. Biashara na Uwekezaji - Muingereza
7. Nishati - Muistralia
8. Madini - Mkaburu
9. Usafirishaji - Hong Kong
10. Fedha - Mswizi
11. Diplomasia ya Kimataifa - Mmarekani
12. Utalii na Utamaduni - Mmalaysia
13. Afya - New Zealand
14. Uvuvi na Mali Asili - Mcanada
15. Makazi na Mipango Miji - Mjerumani
Pia, Wakuu wa hizi taasisi na viongozi wake waandamizi wawe ni wageni watakoonekana wanakidhi vigezo:
(A). TRA
(B). Mamlaka za Maji Safi na Maji Taka Kitaifa na Mikoani
(C). TANESCO
(D). Bandari
N.k. Natamani kuweka Magereza na Uhamiaji lakini kwa sababu ni mojawapo ya taasisi nyeti kiusalama, nimeamua kuziacha.
Japo huu ni mfano tu, unafikiri tungeamua kama nchi kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka mitano au kumi tu ingekuwa na athari gani?
Hilo ndilo limenipelekea kufikiria kuwa ikiwa tutawaazima baadhi "yao" watusaidie kuongoza baadhi ya Wizara kwa muda, inaweza ikatusaidia?
Kama hilo lingewezekana, ningependekeza yafuatayo.
1. Nafasi ya Uraisi, Umakamu wa Rais, na Waziri Mkuu wasipewe wageni.
2. Wizara zote isipokuwa ya Ulinzi, Mambo ya Ndani, na ya Katiba & Sheria isiongozwe na wageni.
3. Wizara zingine zote zilizobakia, Waziri wake na Katibu Mkuu wawe wageni, ila nafasi zilizobaki kama Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu ndiyo ishikiliwe na Watanzania.
4. Utaratibu huo ungetumika kwa miaka mitano au kumi tu. Baada ya hapo, wageni wote wtarudi kwao.
Zifuatazo ni Wizara na Mataifa ambayo watu wake wangepewa hizo fursa ya uongozi wizarani kama Waziri na Katibu Mkuu:
1. Elimu - Finland
2. Kilimo - Muisraeli
3. Viwanda - Japan/ South Korea
4. Uchumi, Mipango na Uwekezaji - Msingapore
5. Sayansi na Teknolojia - Mkorea Kaskazini/ Muiran/ Mrusi
6. Biashara na Uwekezaji - Muingereza
7. Nishati - Muistralia
8. Madini - Mkaburu
9. Usafirishaji - Hong Kong
10. Fedha - Mswizi
11. Diplomasia ya Kimataifa - Mmarekani
12. Utalii na Utamaduni - Mmalaysia
13. Afya - New Zealand
14. Uvuvi na Mali Asili - Mcanada
15. Makazi na Mipango Miji - Mjerumani
Pia, Wakuu wa hizi taasisi na viongozi wake waandamizi wawe ni wageni watakoonekana wanakidhi vigezo:
(A). TRA
(B). Mamlaka za Maji Safi na Maji Taka Kitaifa na Mikoani
(C). TANESCO
(D). Bandari
N.k. Natamani kuweka Magereza na Uhamiaji lakini kwa sababu ni mojawapo ya taasisi nyeti kiusalama, nimeamua kuziacha.
Japo huu ni mfano tu, unafikiri tungeamua kama nchi kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka mitano au kumi tu ingekuwa na athari gani?