Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
View attachment 2832465
Mamlaka huru ya mawasiliano nchini Afrika kusini (icasa) imetoa onyo kwa mashirika, kampuni au watu mbalimbali ni haramu au marufuku mtu kutumia mtandao wa Starlink.
Mamlaka hiyo ya Icasa iliweza kutoa Onyo kupitia kinotisi kilichochapishwa kwenye gazeti la Serikali siku ya jumanne ambayo ilisainiwa na mwenyekiti Yolisa Yodama.
View attachment 2832466
Icasa imesema utoaji wowote wa huduma utangazaji , mawasiliano ya kieletroniki na usambazi wa intaneti ya masafa marefu bila kupata leseni ni ukiukaji wa Moja kwa Moja Sheria ya mawasiliano ya kimtandao.
Ni marufuku kununua vifaa vya starlink kwani havijasajiliwa na havina leseni, kutumia vifaa hivyo upelekea kuleta muingiliano wa mawasiliano ya radio frequency upelekea vifaa vingine kutokufanya kazi ipasavyo.
View attachment 2832467
Icasa ilimalizia kwa kusema vifaa pekee Toka starlink vilivyo halalishwa ni V3 Earth station Gateway sio zile antenna za sahani (dish antenna) havina vibali.
Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini Afrika kusini kihalali wanahitaji leseni za huduma ya kieletroniki ya kibinafsi (I- ECs) na huduma ya kimtandao ya kieletroniki ya mtu binafsi (I-ECNS) sio kuendesha kihuni huni tu.
Mamlaka huru ya mawasiliano nchini Afrika kusini (icasa) imetoa onyo kwa mashirika, kampuni au watu mbalimbali ni haramu au marufuku mtu kutumia mtandao wa Starlink.
Mamlaka hiyo ya Icasa iliweza kutoa Onyo kupitia kinotisi kilichochapishwa kwenye gazeti la Serikali siku ya jumanne ambayo ilisainiwa na mwenyekiti Yolisa Yodama.
View attachment 2832466
Icasa imesema utoaji wowote wa huduma utangazaji , mawasiliano ya kieletroniki na usambazi wa intaneti ya masafa marefu bila kupata leseni ni ukiukaji wa Moja kwa Moja Sheria ya mawasiliano ya kimtandao.
Ni marufuku kununua vifaa vya starlink kwani havijasajiliwa na havina leseni, kutumia vifaa hivyo upelekea kuleta muingiliano wa mawasiliano ya radio frequency upelekea vifaa vingine kutokufanya kazi ipasavyo.
View attachment 2832467
Icasa ilimalizia kwa kusema vifaa pekee Toka starlink vilivyo halalishwa ni V3 Earth station Gateway sio zile antenna za sahani (dish antenna) havina vibali.
Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini Afrika kusini kihalali wanahitaji leseni za huduma ya kieletroniki ya kibinafsi (I- ECs) na huduma ya kimtandao ya kieletroniki ya mtu binafsi (I-ECNS) sio kuendesha kihuni huni tu.