Lusajo11
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 1,887
- 1,958
Kosa kubwa sana nilifanya kugombana na mwanamke niliyempa mimba kwa sababu nilimtokea rafiki yake muarabu...
Siku akili iliponirudi nikasafiri kwenda kwake kuomba msamaha ila kabla sijafanikisha zoezi nikagundua ana bwana mwingine wakati bado ana mimba yangu!!!
Nilikasirika hadi nikaanza kuona mauzauza. Ili kutuliza akili yangu nilienda chuo fulani nikatafuta wanawake wakajaa kwenye kitoroli changu nikaenda nao club. Kulipokucha ndio nikagundua nilidraw hela benki hadi kiwango cha mwisho kwa siku na hapo hata hela ya mafuta inabidi niende benki tena
Siku akili iliponirudi nikasafiri kwenda kwake kuomba msamaha ila kabla sijafanikisha zoezi nikagundua ana bwana mwingine wakati bado ana mimba yangu!!!
Nilikasirika hadi nikaanza kuona mauzauza. Ili kutuliza akili yangu nilienda chuo fulani nikatafuta wanawake wakajaa kwenye kitoroli changu nikaenda nao club. Kulipokucha ndio nikagundua nilidraw hela benki hadi kiwango cha mwisho kwa siku na hapo hata hela ya mafuta inabidi niende benki tena