Mkuu ukweli ni upi?HABARI HIZI ZA UPOTOSHAJI ALIWAHI PIA KUZILETA TUNDU LISSU NA AKAPINGWA HATA NA EDWIN MTEI....
Ni habari za kizushi.... na nadhani hata ile sheria ya mitandao huenda isikuguse......
Mkuu ukweli ni upi?HABARI HIZI ZA UPOTOSHAJI ALIWAHI PIA KUZILETA TUNDU LISSU NA AKAPINGWA HATA NA EDWIN MTEI....
Ni habari za kizushi.... na nadhani hata ile sheria ya mitandao huenda isikuguse......
Ili uwekwe kizuizini ni lazima uhukumiwe, huwezi kujiweka mwenyewe. Hii ni hukumu pia.Kizuizini ili kuwa uhukumiwi bali unawekwa. Bila kupelekwa mahakamani
Mkuu ukweli ni upi?
jamani vijana mbona mna maswali magumu hivi ?Habari wakuu,
Naombeni kujuzwa, aliyekuwa Rais wa Zanzibar kipindi hiko, ndugu Aboud Jumbe ambaye yupo Kizuizini mjini Kigamboni kwa takribani miaka 31 kifungo chake alihukumiwa miaka mingapi? Au ndio cha maisha? Mwenye kujua anaweza atujuze maana Mzee Jumbe amezeeka kweli lakn hakuna hata msamaha mpaka leo.
Habari wakuu,
Naombeni kujuzwa, aliyekuwa Rais wa Zanzibar kipindi hiko, ndugu Aboud Jumbe ambaye yupo Kizuizini mjini Kigamboni kwa takribani miaka 31 kifungo chake alihukumiwa miaka mingapi? Au ndio cha maisha? Mwenye kujua anaweza atujuze maana Mzee Jumbe amezeeka kweli lakn hakuna hata msamaha mpaka leo.
Ili uwekwe kizuizini ni lazima uhukumiwe, huwezi kujiweka mwenyewe. Hii ni hukumu pia.
Dah....Naandaa makala kuhusu huyu jamaa nitarudi hapa baadae
Tuwaachie wazenji maana alikuwa raisi wao. Mzee Sheini kazi kwako
HABARI HIZI ZA UPOTOSHAJI ALIWAHI PIA KUZILETA TUNDU LISSU NA AKAPINGWA HATA NA EDWIN MTEI....
Ni habari za kizushi.... na nadhani hata ile sheria ya mitandao huenda isikuguse......
Ndio maana tunataka mabadiliko,inakuwaje mtu anatelekezwa nyumbani kwa miaka yote hiyo kwa matakwa ya mtu fulani?mawazo mhando in action!
pia kuna uzi huu fuatilia kwa kina.....
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-alizoea-kuishi-kwa-uongo-na-udanganyifu.html