MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,708
- 70,998
ZanzibarNchini kwake ni wapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZanzibarNchini kwake ni wapi mkuu?
Achana nae.. kitabu chake The Partnership ameeleza kinagaubaga sasa huyo si atakuchosha tu.Bhac mkuu nimekosa,maana watu ukweli hawataki kusikia.
Yupo huru kama JK au Karume au Salmin Amour,umefurahi sasa...!!??
Tunyamaze mkuu ,tunatakiwa tuimbe zile nyimbo za zidumu fikra za mwenyekiti la sivyo sheria ya makosa ya mtandao inakuhusu kwa kusababisha uchochezi.Achana nae.. kitabu chake The Partnership ameeleza kinagaubaga sasa huyo si atakuchosha tu.
Kumbe huyu mzee aliyaona haya cku nyingi kabla ya rasimu ya jaji aisee alikuwa kichwa hongera zake maana kwenda tofauti na Nyerere inaonyesha ilikuwa hatari kubwaKuna mengi yaliendelea achilia nafasi ya umakamu Rais, kuna pesa za karafuu zilizomezwa na muungano na huyu mzee hilo lilimuuma na kuhoji kwanini imekuwa hivyo. Pia kuna swala za Zanzibar kuwa nchi alilisimamia kwani alitaka kuwapo na serikali tatu na hilo likawa mwiba mkali kwa Nyerere akaona jamaa ni msaliti akishirikiana na kina Seif Sharif Hamad. Pia alihoji uhusiano wa Vatican na Tanzania na hilo halikumpendeza Nyerere akaona atamuharibia uongozi pengine (Soma katika kitabu chake).
Jamani tupieni soft copy ya hcho kitabu cha mzee Jumbe tukipitie wengine tumemsikia kidogo sanaWhat is excatly the title of that book? and where can I possibly find?
RIP Alhaj Aboud Jumbe,Jamani huyu mheshimiwa yuko wapi? Mbona kimya.
Hata hashirikishwi kwenye issue za CCM kulikoni?
KAWAWA sometimes huwa anashirikishwa why not JUMBE? Or is there any wrong doings alizofanya au he is SICK?