Ni kosa gani alilolifanya Aboud Jumbe kustahili 'kifungo cha maisha'?

Bhac mkuu nimekosa,maana watu ukweli hawataki kusikia.
Yupo huru kama JK au Karume au Salmin Amour,umefurahi sasa...!!??
Achana nae.. kitabu chake The Partnership ameeleza kinagaubaga sasa huyo si atakuchosha tu.
 
Achana nae.. kitabu chake The Partnership ameeleza kinagaubaga sasa huyo si atakuchosha tu.
Tunyamaze mkuu ,tunatakiwa tuimbe zile nyimbo za zidumu fikra za mwenyekiti la sivyo sheria ya makosa ya mtandao inakuhusu kwa kusababisha uchochezi.
Ila huwa najiuliza,hivi vitabu vinaandikwa kwa ajili ya kazi gani kama si kusomwa...!!???
 
Kuna mengi yaliendelea achilia nafasi ya umakamu Rais, kuna pesa za karafuu zilizomezwa na muungano na huyu mzee hilo lilimuuma na kuhoji kwanini imekuwa hivyo. Pia kuna swala za Zanzibar kuwa nchi alilisimamia kwani alitaka kuwapo na serikali tatu na hilo likawa mwiba mkali kwa Nyerere akaona jamaa ni msaliti akishirikiana na kina Seif Sharif Hamad. Pia alihoji uhusiano wa Vatican na Tanzania na hilo halikumpendeza Nyerere akaona atamuharibia uongozi pengine (Soma katika kitabu chake).
Kumbe huyu mzee aliyaona haya cku nyingi kabla ya rasimu ya jaji aisee alikuwa kichwa hongera zake maana kwenda tofauti na Nyerere inaonyesha ilikuwa hatari kubwa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom