Ni kosa gani alilolifanya Aboud Jumbe kustahili 'kifungo cha maisha'?

Mzee Jumbe aliona umuhimu wa Serikali tatu miaka zaidi ya thelathini iliyopita na akaipigania akiwa Rais enzi hizo mpaka akapoteza Urais wake akina Seif Sharif Hamad kwa kujipendekeza kwao kwa Bw.Julius Nyerere walijifanya waumini wa serikal mbili na Kina Aman Karume wanajifanya waumini wa serikal tatu baada ya kustaafu Urais
 
Jumbe kawa mzee sasa,yupo kwake mjimwema,ana ulinzi,gari na mafao ya serikali hiyo habari ya kukamatwa kwake uliisikia wapi

As it then was in 1984, it is in the public domain!
 
QUOTE="MKWEPA KODI, post: 17065787, member: 341224"]Sasa kama amemaliza kifungo cha nyerere si wamrudishe nchini kwake[/QUOTE]

Hajamaliza.
Nyerere Kafa na ufunguo (akili) wa kifungo hicho
Sasa sijui mpaka afufuke au
 
na kwa taarifa kigamboni yote umeme wa tanesco ukikatika ni kwakwe tu unaendelea kuwaka....sasa ujiulize kuna kebo ya waya wa umeme kutoka upande wa pili wa nyumba nyeupe umeenda kwake au la
 
Mkuu,
Ngoja tuongeze uthibitisho wa uhuru wa Mzee Aboud Jumbe. Picha za karibuni tunawaona kina Dr. Shein Rais wa SMZ, Maalim Seif Katibu Mkuu CUF, Dr. Bilal Makamu wa Rais Mstaafu wakiwa ktk picha na Mzee Jumbe, Kina-Tomaso picha hizi za Mzee Aboud Jumbe Mwinyi, amezaliwa 14 June 1920 na sasa ana umri wa miaka 96 ndiyo maana haonekani kutokana na umri mkubwa.

images

images

images

images

images
Mzee hizo picha ni za kipindi gani.. Maana mzee jumbe kapukutika zaid ya hvyo, kaisha kweli kweli..
 
Jumbe kawa mzee sasa,yupo kwake mjimwema,ana ulinzi,gari na mafao ya serikali hiyo habari ya kukamatwa kwake uliisikia wapi
Sasa kama hajawahi kukamatwa, Mbona hata kwenye sherehe za kitaifa hatajwi kabisa Mchango wake, mbona haruhusiwi kurudi kwao Zenji?

Unapuuzaje mchango wa Aboud Jumbe mtu aliyafanikisha kuzaliwa kwa chama chenu cha Majipu ( ccm ) kwa kuunganisha ASP na TANU.

Mchango wa Jumbe ktk Nchi hii umefichwa kama ulivyofichwa mchango wa Oscar Kambona.

Tukubaliane tu, Jumbe yupo kizuizini.
 
Back
Top Bottom