Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

mtikinya.JPG
Jionee mwenyewe
 
Kuchauka Bora Kupata. Nilisomanae O level huyu jamaa. Advance nikakutana na kichwa cha Nyanda za juu kinaitwa P...mbu,tukazoea kumuita Mr. P. Sasa kituko chake huyu jamaa alikuwa hataki jina lake likatishwe hasa na waalimu hivyo ilikuwa Mwl akija class na kuita Mr. P haitiki wala hanyanyuki na akiulizwa anamjibu Mwl hilo sio jina langu niite jina langu halisi wazazi wangu walionipa sio wajinga. Alikuwa na matata kweli kweli.
 
Rhoda hahaa huyu alikuwa bingwa wa kuibia kwenye mitihan halafu kusoma hajui basi anapoibia anaanzia hadi kwenye jina lako hahaaa duh mtihan ikiletwa unaitwa majina mara mbili
 
Bundala lufasinza basu(buluba )ukichukua herufi mbili za mwanzo za majina yake unapata jina la shule aliyo somea buluba secondary school.
 
Atupakisye Aturondile Kitaja

Sijui kama naweza kulisahau maana lilikuwa linanichekesha sana
 
Back
Top Bottom