Hata hiyo bahasha ambayo imewekwa hizo nyaraka haiendani kabisa na hadhi ya ofisi husika.
Kuelewa wameelewa sema wanashangaa! Na mm ninashangaa, jinsi hilo daftari lilivyojaladiwa, namkumbuka mwalimu wangu aliyetaka tujaladie daftari za somo lake kwa karatasi za khaki na tuandike juu kwa umakini so kama mlevi:sleepy:Lakini si mmeelewa?
ni Inspetor General of Police Iau nspekta Jenerali wa Polisi
hivi, hiki cheo ni lazima kila anayekikalia lazima awe kilaza? ni wakati sasa umefika wa kufa na intellectual people kwenye hiyo nafasi
Huyo jamaa (IJP!) yupo vizuri tu, ila bahati mbaya kwake, kama ilivyo kwa wengine, wako kwenye wrong goverment.hivi, hiki cheo ni lazima kila anayekikalia lazima awe kilaza? ni wakati sasa umefika wa kufa na intellectual people kwenye hiyo nafasi