Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

Attachments

  • Screenshot_20240201-073013_Gallery.jpg
    Screenshot_20240201-073013_Gallery.jpg
    114 KB · Views: 1
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Nyie watu, akili na nyie vimepishana kabisa
 
Hahahaaa yaani sisi watz ni kama mazombi tumeshasahau huruma ya muarabu ndio imesababisha tucheze fainali za afcon hadi uganda akabaki kulalamika
Unasahau hisani aliyotufanyia Uganda katika kuiwezesha Tanzania kushiriki fainali za Afcon za 2019.
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Mwarabu wa buza pole yako. Mimi n8mefurahi sana wale waliokuwa wanaitwa favourite kutolewa. Kimsingi ndio walikua wanapendelewa ili hiyo favorite ihalalishwe. Hongera kwa Ibory coast, SA na wengine wenye mchango wa kuwatoa wote waliokua wanaitwa favorite 😃😃😃😃😃
 
Acha uchochezi we mfia dini. Morocco, misri, tunisia, algeria na hao mauritania kwani wao wana uwezo gani kimpira mpaka mpaka wasitolewe na timu zingine? Nimefurahi sana timu hizo kutolewa kwani zilijaa kiburi sana na kujiona wao ndio miamba ya soka afrika
 
Ni football tu game zinechezwa wazi SEMA tu giants wote walikuwa wanaamin akuna wakuwasumbua especially Morocco🇲🇦
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Timu zenye ukafir??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
South Africa ana record nzuri dhidi ya Morocco.
Ukiangalia H2H utaona recently South anajipigia tu kwa Morocco.
Morocco pia hana record yoyote ya maana kwenye Afcon kashinda mara moja tu tena kipindi wewe bado hujazaliwa.

Timu ya namna hiyo haiwezi kufika popote kwenye mashindano.
 
South Africa ana record nzuri dhidi ya Morocco.
Ukiangalia H2H utaona recently South anajipigia tu kwa Morocco.
Morocco pia hana record yoyote ya maana kwenye Afcon kashinda mara moja tu tena kipindi wewe bado hujazaliwa.

Timu ya namna hiyo haiwezi kufika popote kwenye mashindano.
Kipindi mimi sijazaliwa wewe mama yako alikuwa bado hata kufikiriwa. Maana nimemwacha miaka kama 9 hivi.
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Watu kwasasa wanajiongeza, (individual skills and talent),na wanawekeza kimyakimya bila makelele
 
Back
Top Bottom