Mfalme_wa_Nyika
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 391
- 862
Yaani nchi ndogo zimewaonesha wanaojiona miamba ya soka Afrika kuwa hakuna mwamba wa milele wote ni wachumba tu mbele ya underdog (team ndogo zisizo maarufu au kuonekana na uwezo wa soka).
Timu kubwa kama Misri, Ghana, Tunisia, Cameroon zimegaragazwa na underdogs kama Namibia, Guinea, Msumbiji na Cape Verde nchi ambazo hazipo kabisa ramani ya soka na wala umaarufu hazina katika kandanda.
Mikeka imechanwa na Favorites mtaani vijana vilio hawana imani tena na timu kubwa zenye majina,
Jana mwenyewe South Afrika kalalishwa chali na Mali mpaka yule Percy Tau kukosa penalti maanake ni ishara kuwa kombe hili linaenda kwa underdog team ambayo watu hawatataraji kuwa inaweza kuchukua.
Kwa upepo huu unavyoenda waarabu hawana lao mwaka huu na sitashangaa nchi yangu Tanzania kumgaragaza Morroco leo mpaka aombe pu.
HUYO HAKIMI LEO ATAKUWA NI MCHUMBA TU MBELE YA SAMMATA
sitashangaa maana underdog upepo ni wao.
Admin hifadhini uzi huu mtakuja kunishukuru badae
Wasalaam
Napenda kuwasilisha.
Timu kubwa kama Misri, Ghana, Tunisia, Cameroon zimegaragazwa na underdogs kama Namibia, Guinea, Msumbiji na Cape Verde nchi ambazo hazipo kabisa ramani ya soka na wala umaarufu hazina katika kandanda.
Mikeka imechanwa na Favorites mtaani vijana vilio hawana imani tena na timu kubwa zenye majina,
Jana mwenyewe South Afrika kalalishwa chali na Mali mpaka yule Percy Tau kukosa penalti maanake ni ishara kuwa kombe hili linaenda kwa underdog team ambayo watu hawatataraji kuwa inaweza kuchukua.
Kwa upepo huu unavyoenda waarabu hawana lao mwaka huu na sitashangaa nchi yangu Tanzania kumgaragaza Morroco leo mpaka aombe pu.
HUYO HAKIMI LEO ATAKUWA NI MCHUMBA TU MBELE YA SAMMATA
sitashangaa maana underdog upepo ni wao.
Admin hifadhini uzi huu mtakuja kunishukuru badae
Wasalaam
Napenda kuwasilisha.