Ni haki kupenda!?

So, according to you ni haki kuwa na mpenzi nje ya ndoa!?

mie nafikiri ni haki kuwa na mpenzi nje ya ndoa. Binafsi nimeoa na nilikuwa na mpenzi ambae aliolea na mzungu. Yeye ndo aliyeanza move kwa kumpitia rafiki yake kuwa ananipenda. Baadae aliniambia kuwa ni sababu ya ugumu wa maisha ilibidi aolewe na yule mzungu. Wazazi wa mpenzi huyo walifariki na yeye akiwa ni mtoto wa kwanza na kila mdogo wake macho yalikuwa yakimtazama yeye. Na off course alifanikiwa kuiinua familia yake wakati yuko na mzungu lakini baadae tatizo kuachana na mmewe ilikuwa ni ngumu maanaalikuwa akifikiria watoto alio wazaa na mzungu.
Tulidumu kwa mda mrefu sana na huyo mdada na anashukuru sana kuwa alikuwa na mie.
Nafikiri condition kama ya huyu mdada nafikri anahaki ya kupendai
 
Hivi hebu tufikirie na upande wa pili...............wewe umeolewa/umeoa mtu ambaye unampeeeenda sana lakini yeye hakupendi na unalijua kabisa kuwa hakupendi labda kakubali kukuoa/olewa kwa kuwa kulikuwa na shinikizo flani. ......... hakuabuse wala kukukaraisha ila tu hana raha na wewe. Utafanya nini?
Nikigundua hili nakuwa sina reason ya kuvumilia kuishi nae tena, kila kitu kiko wazi hana raha, kila mtu ana haki ya kuwa na raha na kuishi na ampendae. Huyu nitamwacha aende kwa usalama kabisa
 
Dah sasa unafanyaje?mwenzako hahisi chochote au anajua humpendi.

As far as i know... Tungeingia kwenye udini endapo kama ningeuliza hivyo...
By the way, nliyenae siwezi kumwacha pamoja na kwamba simpendi.
 
mie nafikiri ni haki kuwa na mpenzi nje ya ndoa. Binafsi nimeoa na nilikuwa na mpenzi ambae aliolea na mzungu. Yeye ndo aliyeanza move kwa kumpitia rafiki yake kuwa ananipenda. Baadae aliniambia kuwa ni sababu ya ugumu wa maisha ilibidi aolewe na yule mzungu. Wazazi wa mpenzi huyo walifariki na yeye akiwa ni mtoto wa kwanza na kila mdogo wake macho yalikuwa yakimtazama yeye. Na off course alifanikiwa kuiinua familia yake wakati yuko na mzungu lakini baadae tatizo kuachana na mmewe ilikuwa ni ngumu maanaalikuwa akifikiria watoto alio wazaa na mzungu.
Tulidumu kwa mda mrefu sana na huyo mdada na anashukuru sana kuwa alikuwa na mie.
Nafikiri condition kama ya huyu mdada nafikri anahaki ya kupendai

Mfano mzuri sana huu... Nna imani wadau watausoma na kuelewa situations zinazowaface watu wanapokua kwenye mahusiano!..
 
Hana haki ya kuwa na mpenzi nje.Maadam aliamua kuingia kwenye ndoa na huyo mtu.ampende au asimpende.
 
Tatizo ndoa za cku izi zinatokea ili kuonekana mtu yupo ndani ya ndoa tu hasa ladies baada ya kuchakachuliwa weee then time inamtell atafute kichaka. Hapo ndipo kuparamia kunatokea kwa mtu asiempenda na kuanza kurudi makoloni ya kale.
 
Tatizo ndoa za cku izi zinatokea ili kuonekana mtu yupo ndani ya ndoa tu hasa ladies baada ya kuchakachuliwa weee then time inamtell atafute kichaka. Hapo ndipo kuparamia kunatokea kwa mtu asiempenda na kuanza kurudi makoloni ya kale.

So its okey to you??
 
Ndoa ni mkataba. Kama mlikuwa na kipengele hicho kwenye mkataba wenu the its OK. Lakini kama kulikuwa hamna basi ni bora mfanye review ya contract na include hiyo. Unaweza ukajikuta vile ulivyo muolea ukafikosa ghafla.
 
WanaJF habari zenu!...
Kuna kitu kidogo kinanisumbua, hivi kwa mtu ambaye ameoa 'out of love'..
Yaani amemuoa mtu asiyempenda ana haki ya kuwa na mpenzi nje ya ndoa ambaye he/she truly loves?
 
Ukishaoa umejitia kitanzi,baki na huyo ndio ashakua wako kwa vyovyote alivo huna namna zaidi ya kukubali kua huyo ndio wako. Labda kama dini yako inaruhusu
 
Back
Top Bottom