S.Liondo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,408
- 1,713
Na wale viongozi wa dini waliotukorogea rasimu ya katiba yetu, unasemaje kuhusu hao? Maana walifanya hivyo kuwaunga mkono watawala.Habari wanabodi,
Tangu Mh rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Magufuli kutangaza vita kubwa ya kiuchumi dhidi ya rushwa, wezi wa rasilimali zetu, wauza ngada ambao wanaharibu vijana wetu. Mh rais amegusa maslai ya kundi kubwa sana lenye mtandao mpana wenye nguvu ambao hadi leo unatafuta kila namna kumchafua mh rais na juhud zake nzuri za kufanya ukombozi wa kiuchumi.
Kundi hili la wapiga dili linajaribu kutumia watu wenye image na influence kubwa katika kutekeleza mipango yao haramu na kila njia ili kuihujumu Tanzania.Watu hao wanaotumika ni kama wanasiasa uchwara kama tulivyokuwa tunaona kwa mh wa nairobi pia hawakuishia hapo wakaenda mbali hadi kutumia viongozi wa kiroho tumeshuhudia jinsi gan baadhi ya viongozi wa kiroho wakiitupa injili na kutumika kisiasa kuchafua serikali yetu pendwa ya awamu ya tano .
Ni aibu kubwa kwa kiongozi wa dini kuacha kondoo wa bw wakipotea na kutumika kisiasa