pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Mbona wapo kidigitali tangu mwaka jana.NHIF waende digital, waache tumia makaratasi, wizi waanzia kwenye karatasi
Mbona wapo kidigitali tangu mwaka jana.NHIF waende digital, waache tumia makaratasi, wizi waanzia kwenye karatasi
Kimsingi kabima kanasaidia sana, ila tu wajidhatiti kwenye mifumo yao ya uendeshaji waepuke kudanganywa na watoa huduma pamoja na wateja waoHiyo 50400 ukienda polyclinic hela ya kumuona specialist, vipimo kama viwili na dawa imeisha...haina ukubwa wowote mkuu.
Kwa kifupi hiyo NHIF mostly inajiendesha kwa hasara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzilankende Chap Angemtimua Kazi Huyo NHIFSamia unahujumiwa na watendaji wako . shtuka
NHIF inaweka limitation ya matibabu ya wanachama na wategemezi wao.Baada ya wananchi kupigia kelele mabadiliko ya mfuko wa bima ya afya, hatimaye NHIF wamesitisha mabadiliko hayo.
Hii ndio nguvu ya mitandao ya kijamii
==============
Pamoja na hivyo kumetolewa taarifa mbili ambazo ni wazi zina onesha wahusika hawakujipanga, taarifa ya kwanza imetolewa na NHIF wenyewe wakionesha kuwa walikuwa na utaratibu mpya, lakini baadaye wameona umeleta utata wameufuta.
Dakika 20 baadaye taarifa ikatolewa na Wizara ya Afya kuwa wamesitisha utaratibu huo mpya, ikumbukwe kuwa awali hakuna taasisi yoyote kati ya hizo mbili iliyojitokeza kuzungumzia kuhusu utaratibu mpya.
Inamaanisha kuwa baada ya presha kuwa
Monopoly haijawahi kuchochea quality improvement wala competition kwenye huduma. NHIF alitakiwa kuwa mtoa huduma kama zinavyofanya health facilities za serikali ila yaonekana NHIF amekuwa mfanyabiashara tena asiye na ushindani kwani ana wateja(watumishi wa umma) hawana kimbilio na hii inawapa NHIF jeuri na kutokujali wateja. Serikali itaisaidia sana NHIF itakaporuhusu watumishi wa umma kuchagua kampuni ya bima ya afya anayopendelea; NHIF watajifunza na watajali wateja na huenda baadaye wakawa wazuri zaidi. Kwao kwa sasa mteja sio mfalme bali ni kidampa tu. Naunga mkono hoja.Kama wanataka kuthibiti basi isiwe lazima kwa watumishi wa umma kujiunga na mfuko. Huwezi kulazimisha watu kujiunga na mfuko halafu unakuja na masharti magumu.
Inajiendesha kwa hasara sababu imekumbatia watu.Hiyo 50400 ukienda polyclinic hela ya kumuona specialist, vipimo kama viwili na dawa imeisha...haina ukubwa wowote mkuu.
Kwa kifupi hiyo NHIF mostly inajiendesha kwa hasara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Kaimu bila shaka hatoshi.Pia menejimenti itazamwe kama ina umakini unaotoshaHuyu director ni wa kupangiwa kazi nyingine.
Anajihunumu mwenyewe ndg yeye mwenyew mtu wa michongoSamia unahujumiwa na watendaji wako . shtuka
SIIIICCM NI MAFII