Nguvu ya umma yamtisha Kikwete

mmmmh wakuuu akili zangu zinacheza kama kuna kasinema wanataka kukacheza...anajua atapokelewa na mabango na mawe so wanawatangazia haji ili wasiandae mabango na mayai viza....nawashauri mabango na mayai viza yaandaliwe kama kawa...
Mkuu mayai hatuko nayo lakini mabango yapo ya kutosha na bendera za chadema zipo za kutosha katuangusha kweli kitendo cha kutokuja hapa Arusha....sijui tumwahidi suti ndiyo aje maana ni mwaka sasa kila akija anatua kia anaruka Monduli sijui hapa Mjini Arusha kunani mikutano ya EAC amehamishia Dar hii haijawahi kutokea tangu awe raisi wa nchi hii..............
 
Katika hali ambayo unaweza kuitafasili kuwa joto la kisiasa la mjini Arusha dr dr dr kikwete ameingia miti licha yamatangazo ya takiribani wiki 2. Na leo asubuhi tulishuhudia magari ya matangazo akizunguka mjini ya kitujuza kuwa kesho atakuwa mjini Arusha kwenye ushanja wa Sheukh Amri Abeid lakini mchana huu gari la matangazo linapita na kutujuza atakae kuwepo ni Dr Bilal...

Je Kikwete kasoma alama za nyakati kuwa kwa sasa si salama kwake mjini Arusha? Maana vijana wameandaa mabango na bendera za CHADEMA tayari kwa kumkaribisha.
Kwa nini asiende mbeya, ningesema aende Zanzibar lakini nako kutanuka siku si nyingi.
 
****** anaenda iringa kuzindua mradi wa maji njombe,nasikia anakwenda mpaka ludewa.
Uziduzi wa polio ni wa kitaifa na huo mradi wa maji si wa kitaifa kama ni kweli uyasemayo basi ange angalia swala la kitaifa na je kwani imekuwani gafla au lilikuwepo kweli ratiba zake iweje tutangaziwe we mbili sasa na leo mpaka saa tano wana tangaza Kikwete atakuwepo halafu saa tatu baadae tunaambiwa Mohammed Gharib Bilal ndiyo atakae muwakilisha fisadi namba moja dr dr dr dr JM kikwe te.....acheni kutuzuga kitu kina gonga
 
we unafikiri nae hajui kusoma alama?
makamu wa rais, waziri mkuu, zanzibar wako wawili kule, na wote wakistaafu hawafi mapema, wanaendelea kulipwa gharama kubwa za mafao, kwanini serikali isifirisike!
 
View attachment 41087
Katika hali ambayo unaweza kuitafasili kuwa joto la kisiasa la mjini Arusha dr dr dr kikwete ameingia miti licha yamatangazo ya takiribani wiki 2. Na leo asubuhi tulishuhudia magari ya matangazo akizunguka mjini ya kitujuza kuwa kesho atakuwa mjini Arusha kwenye uwanja wa Sheukh Amri Abeid lakini mchana huu gari la matangazo linapita na kutujuza atakae kuwepo ni Dr Bilal si kikwete tena, hali hii imewaacha watu wa Arusha na maswali mengi...

Je Kikwete kasoma alama za nyakati kuwa kwa sasa Arusha si salama kwake? Maana vijana wameandaa mabango na bendera za CHADEMA tayari kwa kumkaribisha.......
Mkuu una maana kwamba amekimbia bendera na mabango?Hivyo vinatisha usalama kweli?
 
hivi hichi cheo cha makamu wa rais kina umuhimu gani kwenye nchi hii, kama sio ku misuse resources za wananchi,.

uko sawa kabisa tanzania kuna vyeo kibao visivyokua na tija,mfano mmojawapo ni huo,mingine ni wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya
 
Mkuu!
Hata Mwanza na shinyanga asikanyage! ofcorse Mbeya ndio kabisa rais wa kwanza kupopolewa mawe na wananchi wake.
mikoa mingine changamkeni aishie Bagamoyo tu!
 
jamani huyo anayekuja anamwakilisha yeye hivyo watu wote wa AR tujitokeze kwa wingi tukiwa na bendera za cdm na tumuonyeshe vidole viwili juu, naomba tuanze kupendekeza mabango ya kumpokea huyo anayemuwakilisha yawe na ujumbe gani... nawasilisha.
 
A lot of people here will always bend over for slaa to do kameroun things on them
 
mmmmh wakuuu akili zangu zinacheza kama kuna kasinema wanataka kukacheza...anajua atapokelewa na mabango na mawe so wanawatangazia haji ili wasiandae mabango na mayai viza....nawashauri mabango na mayai viza yaandaliwe kama kawa...

Haha ha! Inawezekana yakawa yale aliyodai "Mwingereza kule Washington DC"
 
Back
Top Bottom