Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,016
- 32,465
Hivi katika maandamano yako uliyoaandaa madai yako hasa ni nini?
Hutaki Mbowe akamatwe kwa kukataa amri halali ya mahakama? (yaani kiongozi haheshimu mahakama?, anaonyesha nini wananchi
Nini malengo yako binafsi ya kuandamana unataka kufanikisha nini kwa taifa lako (acha urafiki wako na ushabiki wako wa chama)
Umezingatia uhuru wa mahakama na haki za polisi au unafuata mkumbo tu?
Kweli unachosema. Habari za siku mkuu