Edward Lowassa, huyu jamaa ana utaka urais kwa gharama yoyote ile iwayo. Yuko tayari kuingia ikulu kwa kutumia njia zozote zile, ziwe halali au hata za kimafia.
CCM wenyewe (wenye CCM) wanahofu kubwa sana juu ya nini kitatokea iwapo hawatompitisha Lowassa kuwa mgombea wa kiti cha urais.
Elisa,
Aliyewasaidia waTz kupata maji ya Victoria si Lowasa, ni rais Mkapa kwenye ahadi yake ya 2000 kwa mkoa wa shinyanga. Wakati huo Lowasa alikuwa kama sio bench ni ofisi tofauti kabisa. Baada ya uchaguzi wa 2000 ndipo Lowasa na Dk Limbu wakaingia wizara hiyo.
Utekelezaji wa mradi wa maji ulianza 2001 wakati wa Lowassa na Diallo kama NW.
Kama nilivyosema awali, wengi mnaompigia jalamba huyu Mhe ni adui zake (kwa kujua au kutokujua) au ni wapinzani wa ccm (kwa kujua au kutojua. Kama ccm wakamteua Lowasa kugombea urais ataanguka asubuhi tu! Madhambi aliyowafanyia watanzania ni mengi afadhali wakuweke wewe Elisa hauna historia ya kuwakosea waTz.
Sifa mnazompa lowasa hanazo, alibahatika kuwa kufanya kazi na wasaidizi makini na pia Rais makini. Wengi wetu tunasahau au hatujui Lowasa na matatizo yake ya nyuma: alipokuwa tume ya Loliondo, na alivyokula hela za waarabu na kuwaacha hadi leo wapo Loliondo badala ya ilivyotarajiwa na waTz (soma tume teule ya Bunge kuhusu Loliondo) ipo hansard za bunge. Pia alipokuwa AICC kama CEO alivyopoteza fedha za ujenzi wa staff na baada ya hapo alivyojinyakulia ardhi ya AICC na baadae kuuziwa Themi Hill Suites, na wengine walio jirani ardhi iliyokuwa ya AICC!
Pia msaada wa ujenzi wa kiwanda cha vyandarua Sunflag, Sumitomo waliwekeza na serikali ya Japan na WB wakatoa grant, lowasa akalazimisha kuuziwa hisa kiwanda hicho bila kutoa hata senti kumi.
Alipokuwa wizara ya ardhi, mnakumbuka alivyokusanya fedha kwa kuuza maeneo na haraka haraka kajenga majengo masaki ambayo yalileta skandali kubwa. Ubalozi wa Afrika kusini walipangisha jengo lake kwa gharama kubwa na dili hiyo ilifanyika yeye akiwa waziri wa ardhi.
Nyerere alimuona kama mwizi tu huyo, akamchomoa kutogombea urais 1995. Wizi wa mali ya umma kaanza miaka mingi.
Hata unapodai kuwa mchapa kazi sikuelewi. Ungesema ana maamuzi ya pupa tu. Mfano, alipoamuru jengo moja karibu na mess ya polisi livunjwe kwavile wahindi walikataa kumlipa fedha; maamuzi yake yamegharimu wizara na serikali mabilioni kwa amri ya mahakama.
Leo tunalia elimu kuanguka; kisa kimojawapo ni ujenzi wa pupa wa shule za kata! Aliacha mpango wa WB na Nordic countries na kutaka utekelezwe kwa jazba! Mradi wa kuyelekezwa kwa miaka 10 yeye kaamua ufanyike miaka 2! Matokeo yake, hakuna waalimu, vifaa, maabara, uwezo kukosekana wa kuwachukua wanafunzi kuelndelea na kidato cha 5 na sita! Leo mnaunda tume kutafuta mchawi! Mchawi ni Lowassa na maamuzi yake ya pupa.
Madhambi yatoikanayo na uamuzi wa hovyo alioufanya huyo ndugu yako ni mengi na pia utajiri alio nao wa kugawa fedha kwenye makanisa hauelezeki. Anatoa fedha kwa wakristo akidhani watamsaidia. Hajasaidia msikiti hata mmoja kama kweli angekuwa na nia ya kusaidia jamii ya nchi hii. Anafanya akijua eti zamu ya mgombea kutoka kwenye ukristo ndilo linalofuata! Anasikitisha kwa kuona karibu na kijinga hivyo! Ni kati ya wanaochochea mgawanyiko wa dini nchini!
Hana maana wala sababu ya kuendelea kuhadaa waTz. Ngoja ufike muda uone kivumbi. Kajitahidi kuwanyamazisha wahariri wa magazeti mengi, hajui wakati wa chaguzi magazeti yote huhuishwa na mengine kufuka kwa kazi moja tu ya uchaguzi! Kuhonga kuna mwisho wake.
Leo wahariri wanadhuriwa na kulalamika kunyamazishwa! Ni wao wameyatafuta hayo, unakula fedha ya mtu halafu unafanya kinyume na matakwa yake unatarajia nini? Kwenye fedha mtu atakufanyia lolote akiona unataka kumdhulumu kinyume na matarajio yake.
Huu ni mchango ulioandikwa jana kwenye Jukwaa la Wanabidii na bwana Tony PT. Nitaendelea kutoa muendelezo wa sifa, wajihi na uozo wa watu mbalimbali waliojitokeza kuutaka Urais.
unasahau kitu kimoja sio ccm machizi hata chadema kwani dr slaa ana maana yeyote?si lolote si chochote.CCM ni machizi lakini kumteua LoWaSsa kugombea urais kwa Tiket ya CCM hawawezi fanya hivyo!
Lowassa ndo injinia wa kuivuruga CCM
Lowassa ndo mzee alie zalisha makundi
Lowassa ndo alifanya juu chini kumwaribia PM pinda iliaonekane ovyo
Lowassa ndo mpikaji udini nchini kwa kutumia Dini kuivuruga serikali lakini ndani ya Bunge kimyaaaaaa
Lowassa ndo Mr Dowans aka Richmond maumivu yake tunayabeba mpaka kesho
Lowassa ni silent killer anaeutaka urais kwa cost yoyote But we will be very kin on that
Mkuu Mwalimu Nyerere hakumwogopa Lowassa kwa Pesa zake bali kwa kuwa Lowassa ni Follower wa Moringe Sokoine aliye Uliwa kidizaini ili asiharibu jina la Ubaba wa Taifa kutokana na msimamo wake kuhusu uchumi wa Tanzania kitu ambacho Mwinyi baadae alikifanya ilikuwa ndoto ya Sokoine yaani Rukhsa! Shahidi wa nini kilimpeleka Sokoine akhera Lowassa ambae alirudishwa toka Ukepteni wa Jeshi kuja kwenye siasa by Sokione ana siri nyingi na ndio maana Nyerere alimwogopa Lowassa kwani Nyerere hakuwa msafi hata kidogo
Elewa maada, hata kama unampenda sana JK, hata mimi nampenda, lakini ukweli ni kuwa WAZO LA KUJENGA UDOM SIO lake. Sijasema utekelezaji nasema WAZO! Unaonekana kuujua ukweli ila upenzi wako kwa JK unataka kumpa hata visivyo vyake. Tusibishane kwa mambo yaliyo wazi, bila kuwepo na wazo hakuna kinachofanyika. Kwamba wazo bila utekelezaji hamna kitu kitafanyika lakini wazo zuri likiwepo hata vitukuu vitalitumia ndiyo maana hata leo hii Newtons anakumbukwa lakini wanaotekeleza mawazo yake ni wengi. Daruwin mwanzilishi wa ushindani (survival for the fittest) anakumbukwa hadi leo ingawaje wanaoshindania rasilimali ni wengi hata wewe Good 2005
Elisa,
Aliyewasaidia waTz kupata maji ya Victoria si Lowasa, ni rais Mkapa kwenye ahadi yake ya 2000 kwa mkoa wa shinyanga. Wakati huo Lowasa alikuwa kama sio bench ni ofisi tofauti kabisa. Baada ya uchaguzi wa 2000 ndipo Lowasa na Dk Limbu wakaingia wizara hiyo.
Utekelezaji wa mradi wa maji ulianza 2001 wakati wa Lowassa na Diallo kama NW.
Kama nilivyosema awali, wengi mnaompigia jalamba huyu Mhe ni adui zake (kwa kujua au kutokujua) au ni wapinzani wa ccm (kwa kujua au kutojua. Kama ccm wakamteua Lowasa kugombea urais ataanguka asubuhi tu! Madhambi aliyowafanyia watanzania ni mengi afadhali wakuweke wewe Elisa hauna historia ya kuwakosea waTz.
Sifa mnazompa lowasa hanazo, alibahatika kuwa kufanya kazi na wasaidizi makini na pia Rais makini. Wengi wetu tunasahau au hatujui Lowasa na matatizo yake ya nyuma: alipokuwa tume ya Loliondo, na alivyokula hela za waarabu na kuwaacha hadi leo wapo Loliondo badala ya ilivyotarajiwa na waTz (soma tume teule ya Bunge kuhusu Loliondo) ipo hansard za bunge. Pia alipokuwa AICC kama CEO alivyopoteza fedha za ujenzi wa staff na baada ya hapo alivyojinyakulia ardhi ya AICC na baadae kuuziwa Themi Hill Suites, na wengine walio jirani ardhi iliyokuwa ya AICC!
Pia msaada wa ujenzi wa kiwanda cha vyandarua Sunflag, Sumitomo waliwekeza na serikali ya Japan na WB wakatoa grant, lowasa akalazimisha kuuziwa hisa kiwanda hicho bila kutoa hata senti kumi.
Alipokuwa wizara ya ardhi, mnakumbuka alivyokusanya fedha kwa kuuza maeneo na haraka haraka kajenga majengo masaki ambayo yalileta skandali kubwa. Ubalozi wa Afrika kusini walipangisha jengo lake kwa gharama kubwa na dili hiyo ilifanyika yeye akiwa waziri wa ardhi.
Nyerere alimuona kama mwizi tu huyo, akamchomoa kutogombea urais 1995. Wizi wa mali ya umma kaanza miaka mingi.
Hata unapodai kuwa mchapa kazi sikuelewi. Ungesema ana maamuzi ya pupa tu. Mfano, alipoamuru jengo moja karibu na mess ya polisi livunjwe kwavile wahindi walikataa kumlipa fedha; maamuzi yake yamegharimu wizara na serikali mabilioni kwa amri ya mahakama.
Leo tunalia elimu kuanguka; kisa kimojawapo ni ujenzi wa pupa wa shule za kata! Aliacha mpango wa WB na Nordic countries na kutaka utekelezwe kwa jazba! Mradi wa kuyelekezwa kwa miaka 10 yeye kaamua ufanyike miaka 2! Matokeo yake, hakuna waalimu, vifaa, maabara, uwezo kukosekana wa kuwachukua wanafunzi kuelndelea na kidato cha 5 na sita! Leo mnaunda tume kutafuta mchawi! Mchawi ni Lowassa na maamuzi yake ya pupa.
Madhambi yatoikanayo na uamuzi wa hovyo alioufanya huyo ndugu yako ni mengi na pia utajiri alio nao wa kugawa fedha kwenye makanisa hauelezeki. Anatoa fedha kwa wakristo akidhani watamsaidia. Hajasaidia msikiti hata mmoja kama kweli angekuwa na nia ya kusaidia jamii ya nchi hii. Anafanya akijua eti zamu ya mgombea kutoka kwenye ukristo ndilo linalofuata! Anasikitisha kwa kuona karibu na kijinga hivyo! Ni kati ya wanaochochea mgawanyiko wa dini nchini!
Hana maana wala sababu ya kuendelea kuhadaa waTz. Ngoja ufike muda uone kivumbi. Kajitahidi kuwanyamazisha wahariri wa magazeti mengi, hajui wakati wa chaguzi magazeti yote huhuishwa na mengine kufuka kwa kazi moja tu ya uchaguzi! Kuhonga kuna mwisho wake.
Leo wahariri wanadhuriwa na kulalamika kunyamazishwa! Ni wao wameyatafuta hayo, unakula fedha ya mtu halafu unafanya kinyume na matakwa yake unatarajia nini? Kwenye fedha mtu atakufanyia lolote akiona unataka kumdhulumu kinyume na matarajio yake.
Huu ni mchango ulioandikwa jana kwenye Jukwaa la Wanabidii na bwana Tony PT. Nitaendelea kutoa muendelezo wa sifa, wajihi na uozo wa watu mbalimbali waliojitokeza kuutaka Urais.
Elisa,
Aliyewasaidia waTz kupata maji ya Victoria si Lowasa, ni rais Mkapa kwenye ahadi yake ya 2000 kwa mkoa wa shinyanga. Wakati huo Lowasa alikuwa kama sio bench ni ofisi tofauti kabisa. Baada ya uchaguzi wa 2000 ndipo Lowasa na Dk Limbu wakaingia wizara hiyo.
Utekelezaji wa mradi wa maji ulianza 2001 wakati wa Lowassa na Diallo kama NW.
Kama nilivyosema awali, wengi mnaompigia jalamba huyu Mhe ni adui zake (kwa kujua au kutokujua) au ni wapinzani wa ccm (kwa kujua au kutojua. Kama ccm wakamteua Lowasa kugombea urais ataanguka asubuhi tu! Madhambi aliyowafanyia watanzania ni mengi afadhali wakuweke wewe Elisa hauna historia ya kuwakosea waTz.
Sifa mnazompa lowasa hanazo, alibahatika kuwa kufanya kazi na wasaidizi makini na pia Rais makini. Wengi wetu tunasahau au hatujui Lowasa na matatizo yake ya nyuma: alipokuwa tume ya Loliondo, na alivyokula hela za waarabu na kuwaacha hadi leo wapo Loliondo badala ya ilivyotarajiwa na waTz (soma tume teule ya Bunge kuhusu Loliondo) ipo hansard za bunge. Pia alipokuwa AICC kama CEO alivyopoteza fedha za ujenzi wa staff na baada ya hapo alivyojinyakulia ardhi ya AICC na baadae kuuziwa Themi Hill Suites, na wengine walio jirani ardhi iliyokuwa ya AICC!
Pia msaada wa ujenzi wa kiwanda cha vyandarua Sunflag, Sumitomo waliwekeza na serikali ya Japan na WB wakatoa grant, lowasa akalazimisha kuuziwa hisa kiwanda hicho bila kutoa hata senti kumi.
Alipokuwa wizara ya ardhi, mnakumbuka alivyokusanya fedha kwa kuuza maeneo na haraka haraka kajenga majengo masaki ambayo yalileta skandali kubwa. Ubalozi wa Afrika kusini walipangisha jengo lake kwa gharama kubwa na dili hiyo ilifanyika yeye akiwa waziri wa ardhi.
Nyerere alimuona kama mwizi tu huyo, akamchomoa kutogombea urais 1995. Wizi wa mali ya umma kaanza miaka mingi.
Hata unapodai kuwa mchapa kazi sikuelewi. Ungesema ana maamuzi ya pupa tu. Mfano, alipoamuru jengo moja karibu na mess ya polisi livunjwe kwavile wahindi walikataa kumlipa fedha; maamuzi yake yamegharimu wizara na serikali mabilioni kwa amri ya mahakama.
Leo tunalia elimu kuanguka; kisa kimojawapo ni ujenzi wa pupa wa shule za kata! Aliacha mpango wa WB na Nordic countries na kutaka utekelezwe kwa jazba! Mradi wa kuyelekezwa kwa miaka 10 yeye kaamua ufanyike miaka 2! Matokeo yake, hakuna waalimu, vifaa, maabara, uwezo kukosekana wa kuwachukua wanafunzi kuelndelea na kidato cha 5 na sita! Leo mnaunda tume kutafuta mchawi! Mchawi ni Lowassa na maamuzi yake ya pupa.
Madhambi yatoikanayo na uamuzi wa hovyo alioufanya huyo ndugu yako ni mengi na pia utajiri alio nao wa kugawa fedha kwenye makanisa hauelezeki. Anatoa fedha kwa wakristo akidhani watamsaidia. Hajasaidia msikiti hata mmoja kama kweli angekuwa na nia ya kusaidia jamii ya nchi hii. Anafanya akijua eti zamu ya mgombea kutoka kwenye ukristo ndilo linalofuata! Anasikitisha kwa kuona karibu na kijinga hivyo! Ni kati ya wanaochochea mgawanyiko wa dini nchini!
Hana maana wala sababu ya kuendelea kuhadaa waTz. Ngoja ufike muda uone kivumbi. Kajitahidi kuwanyamazisha wahariri wa magazeti mengi, hajui wakati wa chaguzi magazeti yote huhuishwa na mengine kufuka kwa kazi moja tu ya uchaguzi! Kuhonga kuna mwisho wake.
Leo wahariri wanadhuriwa na kulalamika kunyamazishwa! Ni wao wameyatafuta hayo, unakula fedha ya mtu halafu unafanya kinyume na matakwa yake unatarajia nini? Kwenye fedha mtu atakufanyia lolote akiona unataka kumdhulumu kinyume na matarajio yake.
Huu ni mchango ulioandikwa jana kwenye Jukwaa la Wanabidii na bwana Tony PT. Nitaendelea kutoa muendelezo wa sifa, wajihi na uozo wa watu mbalimbali waliojitokeza kuutaka Urais.
Unamlisha nani upuuzi huu kuhusu Sokoine na Ruksa wapi na wapi? Sokoine alikuwa radhi watu wavae ngozi zilizotengenezwa nchini kuliko kukimbilia mitumba ya Ulaya aliyoleta Mwinyi. Huwezi mlinganisha Sokoine na hawa wezi wa Loliondo Lowasa na Mwinyi. Hata kama unachukia Nyerere lakini hapo umepitiliza mpaka. Mwinyi aliua Azimio la Arusha na kuleta la Zanzibar ambalo ndo linatungamiza sasa. Usirudie tena kumlinganisha Sokoine na huyu Lowasa , unajipotezea sifa bure ya kuwa GT...
Niko teyari kuichukia na kuiponda Chadema endapo mtaendelea kumponda Lowassa ambae wote tunajua ni msafi isipokuwa utajiri wake ambao haumfikii Uhuru Kenyatta unawauma wajinga wenye fitna
Elisa,
Aliyewasaidia waTz kupata maji ya Victoria si Lowasa, ni rais Mkapa kwenye ahadi yake ya 2000 kwa mkoa wa shinyanga. Wakati huo Lowasa alikuwa kama sio bench ni ofisi tofauti kabisa. Baada ya uchaguzi wa 2000 ndipo Lowasa na Dk Limbu wakaingia wizara hiyo.
Utekelezaji wa mradi wa maji ulianza 2001 wakati wa Lowassa na Diallo kama NW.
Kama nilivyosema awali, wengi mnaompigia jalamba huyu Mhe ni adui zake (kwa kujua au kutokujua) au ni wapinzani wa ccm (kwa kujua au kutojua. Kama ccm wakamteua Lowasa kugombea urais ataanguka asubuhi tu! Madhambi aliyowafanyia watanzania ni mengi afadhali wakuweke wewe Elisa hauna historia ya kuwakosea waTz.
Sifa mnazompa lowasa hanazo, alibahatika kuwa kufanya kazi na wasaidizi makini na pia Rais makini. Wengi wetu tunasahau au hatujui Lowasa na matatizo yake ya nyuma: alipokuwa tume ya Loliondo, na alivyokula hela za waarabu na kuwaacha hadi leo wapo Loliondo badala ya ilivyotarajiwa na waTz (soma tume teule ya Bunge kuhusu Loliondo) ipo hansard za bunge. Pia alipokuwa AICC kama CEO alivyopoteza fedha za ujenzi wa staff na baada ya hapo alivyojinyakulia ardhi ya AICC na baadae kuuziwa Themi Hill Suites, na wengine walio jirani ardhi iliyokuwa ya AICC!
Pia msaada wa ujenzi wa kiwanda cha vyandarua Sunflag, Sumitomo waliwekeza na serikali ya Japan na WB wakatoa grant, lowasa akalazimisha kuuziwa hisa kiwanda hicho bila kutoa hata senti kumi.
Alipokuwa wizara ya ardhi, mnakumbuka alivyokusanya fedha kwa kuuza maeneo na haraka haraka kajenga majengo masaki ambayo yalileta skandali kubwa. Ubalozi wa Afrika kusini walipangisha jengo lake kwa gharama kubwa na dili hiyo ilifanyika yeye akiwa waziri wa ardhi.
Nyerere alimuona kama mwizi tu huyo, akamchomoa kutogombea urais 1995. Wizi wa mali ya umma kaanza miaka mingi.
Hata unapodai kuwa mchapa kazi sikuelewi. Ungesema ana maamuzi ya pupa tu. Mfano, alipoamuru jengo moja karibu na mess ya polisi livunjwe kwavile wahindi walikataa kumlipa fedha; maamuzi yake yamegharimu wizara na serikali mabilioni kwa amri ya mahakama.
Leo tunalia elimu kuanguka; kisa kimojawapo ni ujenzi wa pupa wa shule za kata! Aliacha mpango wa WB na Nordic countries na kutaka utekelezwe kwa jazba! Mradi wa kuyelekezwa kwa miaka 10 yeye kaamua ufanyike miaka 2! Matokeo yake, hakuna waalimu, vifaa, maabara, uwezo kukosekana wa kuwachukua wanafunzi kuelndelea na kidato cha 5 na sita! Leo mnaunda tume kutafuta mchawi! Mchawi ni Lowassa na maamuzi yake ya pupa.
Madhambi yatoikanayo na uamuzi wa hovyo alioufanya huyo ndugu yako ni mengi na pia utajiri alio nao wa kugawa fedha kwenye makanisa hauelezeki. Anatoa fedha kwa wakristo akidhani watamsaidia. Hajasaidia msikiti hata mmoja kama kweli angekuwa na nia ya kusaidia jamii ya nchi hii. Anafanya akijua eti zamu ya mgombea kutoka kwenye ukristo ndilo linalofuata! Anasikitisha kwa kuona karibu na kijinga hivyo! Ni kati ya wanaochochea mgawanyiko wa dini nchini!
Hana maana wala sababu ya kuendelea kuhadaa waTz. Ngoja ufike muda uone kivumbi. Kajitahidi kuwanyamazisha wahariri wa magazeti mengi, hajui wakati wa chaguzi magazeti yote huhuishwa na mengine kufuka kwa kazi moja tu ya uchaguzi! Kuhonga kuna mwisho wake.
Leo wahariri wanadhuriwa na kulalamika kunyamazishwa! Ni wao wameyatafuta hayo, unakula fedha ya mtu halafu unafanya kinyume na matakwa yake unatarajia nini? Kwenye fedha mtu atakufanyia lolote akiona unataka kumdhulumu kinyume na matarajio yake.
Huu ni mchango ulioandikwa jana kwenye Jukwaa la Wanabidii na bwana Tony PT. Nitaendelea kutoa muendelezo wa sifa, wajihi na uozo wa watu mbalimbali waliojitokeza kuutaka Urais.
Mbona bado mbishi wewe ndio unataka mashindano usiyoyajua
Wazo la Jumba la Mikutano la Chimwaga kubadilishwa kuwa Chuo Kikuu lilitolewa na mwasisi wa CHADEMA baada ya kulitembelea na kugundua kuwa fedha zilizochangishwa na watanzania wote kuwa ni Jengo la Mikutano la CCM ni makosa kwani Michango ilianza kabla ya Vyama vingi.
Ndipo hata CCM wakati wa Mkapa wakalibeba wazo hilo, tafuta Katiba yao hata na Madhumuni ya Chama hicho utakuta hiyo kitu hata JKT imezungumziwa humo na Dodoma kuwa Makao makuu au la.
Na jibu halisi ni JM Kikwete ndio kajenga hicho Chuo kwa kutumia fedha za ndani za Mifuko ya jamii STOP
Wengi humu jamvini wanajua huu ukweli including MWKJJ, ila wanajaribu kuendelea kumchafua kwa nguvu zote. Maadui wa Edo na wanaomchukia hawajui hata ubaya wa Edo! Tunafahamu kuwa Edo anajua mambo mengi kuhusiana na kifo cha Edo Moringe, Tunafahamu kuwa USA hawampendi na wanamuogopa Edo Lowassa kutokana na kuitimua City Water...Edo anajua Game linalochezwa na mataifa makubwa, yeye huwa anadeal nao squire 50/50 siyo hawa wengine wazungu warshippers ambao hata wazungu wenyewe wanasikia kichefuchefu kwa tabia za kujikomba na umatonya uliokithiri...Kweli Mkuu RichMund ni JK na rafiki zake na Lowassa aliwahi mhoji JK kwenye kikao cha chama Dodoma kuhusa kutoswa yeye na imekaaje serikali kukaa kimya na kama yeye JK anakumbuka siku alipokuwa nje ya nchi Lowassa alimpigia simu na kumwambia Richmond sio kampuni ya maana ila Rais alimjibu we wacha tu