New International Airport and Port in Bagamoyo; hivi ni vipaumbele sahihi?

Angekwenda kujenga kwenye masaburi yenu mngeona ni sawa tu.

Hivi wewe ndugu haya majibu yako ni nini haswa? una hasira? umelewa? ama ? maana hueleweki kwanini unaropokwa tuu na maneno yasiyo na tija wala msaada. alafu utakuta ni mtu mzima na akili zako na ingekua uko hadharani unaangaliwa kweli ungekua unajisemea hivi? tue mature kuwa unaweza ku-comment bila kuonekana hakumaanishi ujiropokee tu kukera watu. kama unaona chungu unamezea na juisi ndugu.
 
Kumbuka, bandari ya Dar Es Salaam ipo karibu kabisa na katikati ya jiji na pia ipo sehemu ambayo kuongezeka ukubwa ni tatizo na pia njia ya meli kufikia bandari ina kina cha maji ambacho hakikidhi kupitisha meli kubwa za kisasa. Tukitaka tusitake bandari mpya ni lazima ijengwe, Jee, mlitaka ikajemgwe Kilimanjaro?

Kuhusu uwanja wa ndege, hali ni hiyo hiyo, uwanja umeshakuwa mdogo kwa matumizi ya kisasa na upelekwe wapi? Bagamoyo ni KM 63 tu kutoka mjini Dar. Ni perfect choice kufanywa kuwa satellite city ya Dar. au mlitaka uwanja upelekwe Karatu?


Mh Zomba kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kujenga bandari mbili Dar es salaam, economically,geographically and strategically it makes no sense at all, ni ujinga unaweza kushangaa sana decision makers wanafikiri nini. Bandari ya Dar es salaam peke yake inatosha sana kwa Tanzania kama uswahili utapungua bandarani. Kama upakuaji na utoaji wa mizigo utafanywa vizuri sidhani kama kutakuwa na tatizo.

Dar es salaam Airport ikiwa upgraded na kuruhusu denge tatu kutua kwa wakati mmoja, hakuna haja ya kujenga uwanja mwingine.

Ni busara kujenga uwanja mzuri Mwanza, Mbeya na Kigoma, na kuboresha bandari ya Tanga. Kuwekeza Dar kupita kiasi ni tatizo, ni hatari na hakuna faida kubwa na manufaa kwa nchi.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Na Bunge la Serikali iliyolala ya Tanzania itaidhinisha hayo?

KIA badala ya kukiendeleza na kukifanya cha kimataifa kuipatia serikali fedha za kigeni na kupambana na Kenya wanajenga Uwanja wao Mpakani hatuoni kwamba tutapoteza watalii na fedha za kigeni

Mwanza tungeufanya uwanja wa kimataifa, kuna Madini, Samaki, Pamba kusafirisha Nje ya Nchi na kuipatia nchi fedha za kigeni

* Huko Bagamoyo kuna nini? wa Dar kwanza hauna ndege nyingi kwanini Bagamoyo? Ina maana Kikwete alichaguliwa ili aweke uwanja Kijijini kwao; Hakumbuki ya Mobutu Seseseko kule Gybolite ilishindikana? Uwanja ulikuwa ni yeye tu anayetua huko... Hajui kweli historia
 
Usitake kuchanganya mambo wajerumani walikuta waarabu wameshaianzisha wao walifuatia tu. Kwanini waarabu mchangiaji hapo juu no. 15 kama sijakosea kashaelezea kitaalamu. Biashara ya waarabu ilikuwa ya utumwa na vyombo vyao tunavijua. sasa sitaki kuamini kuwa mnataka kuturudisha kwenye biashara ya utumwa. Sitashangaa nitakapoambiwa mbia wa uwekezxaji wa bandari hapo bagamoyo ni mwarabu. Nasema sitashangaa.

ww ubongo wk n fukara sana,sina hakika km nchi hii itatoka hapa tulipo ikiwa nyinyi ndo wasomi na wazalishaji wa fikra za kimapinduz ktk Taifa hili.

Ndo ss natambua kwa nini viwanda vilikufa vyote.km huoni watu weusi ktk mataifa ya magharibi na hutaki kujiuliza walifika vp kule,ila unajua mawakala wa biashara ya utumwa (WAARABU) na hujui walowahitaji kwa ajil ya kuwatumikisha ktk mashamba ya Texas(WAZUNGU), basi ww n kipofu.

Na daima upofu c ugonjwa n ulemavu, basi fikra zako zimelamaa hadi mwisho wa uhai wako.
 
Kikwete jengeni bandari lindi, mtwara, kigoma, kigoma, ruvuma, mwanza na bukoba. What else can you say about Tanzania government? Stupid, ignorance and all of above

I am not surprising if they told us watanzania wote wameuzwa siku nyingi kuwa watumwa Saudi Arabia.

Dam gov with no head.
 
Kumbuka, bandari ya Dar Es Salaam ipo karibu kabisa na katikati ya jiji na pia ipo sehemu ambayo kuongezeka ukubwa ni tatizo na pia njia ya meli kufikia bandari ina kina cha maji ambacho hakikidhi kupitisha meli kubwa za kisasa. Tukitaka tusitake bandari mpya ni lazima ijengwe, Jee, mlitaka ikajemgwe Kilimanjaro?<br />
<br />
Kuhusu uwanja wa ndege, hali ni hiyo hiyo, uwanja umeshakuwa mdogo kwa matumizi ya kisasa na upelekwe wapi? Bagamoyo ni KM 63 tu kutoka mjini Dar. Ni perfect choice kufanywa kuwa satellite city ya Dar. au mlitaka uwanja upelekwe Karatu?
<br />
<br />
Hoja ulojoo...
 
Mkuu tabu huioni? Tabu ni pale mnapofanya maamuzi ya kuangalia interest za vitegauchumi na baashara zenu mkiaacha kuuongozwa na nia ya kweli ya kuwaondolea wananchi matatizo yao. Kwangu mimi bandari ambazo zina tija kwa taifa ni Tanga na Mtwara. Uwanja wa ndege nii huu unaohitaji kupanuliwa wa Dar na kumalizia ule wa mbeya unaoendana na hii sera ya kilimo kwanza na kuelewa. Hivi vya bagamoyo ukiniambia ni kwa manufaa ya biashara za hotel na malori na weza kukuelewa vilevile.
mkuu mimi sipo kwenye level ya decision making,kwa nini usishauri bandari ya Tanga na mtwara zipanuliwe?tukiwa na ports 4 au tano huoni tutaongeza efficiency ya uingizaji wa mizigo?kwani haiwezekani kutoa majukumu makuu kwa kila bandari lets say dar itasave landlocked countries,bagamoyo ikasave Tz mainland na zanzibar,Tanga ikahusika na uingizaji wa magari na vipuri etc
kwa taarifa yako siamini kama kilimo kinaweza kuleta maendeleo katika karne hii,tujenge viwanda mfano vya electronics nina hakika soko la ndani linatosha kutupeleka tunapotaka.
 
Wastage of resources and Lack of Planning!! Badala ya kutumia kidogo tulichonacho kuboresha Miundombinu ya barabara na Bandari tunafikiria makubwa yasiyokuwa na maana!! Kweli hatuna watu wanaofikiri!

Sasa utaweka Airport Bagamoyo hiyo overhead ya watu kusafiri kuja dar Atabeba nani? about 60 km? Dar kero kibao za ukosefu wa barabara hatuoni hilo nalo ni suala la Muhimu kuliko kufikiria kwa kutumia masaburi?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Chief Mkwawa sio mfuasi wa Jk na serikali yake. Chief ana kubali ujenzi wa bandari na uwanja wa ndege Bagamoyo. Dar es salaam imejaa kwa kila kitu, foleni miundo mbinu na ofisi. Uwanja wa ndenge wa DIA unatumika kwa matumizi mengi na bandari ya Dar imezidiwa kazi. Chief alipokuwa USA na UK na JApan aliaambiwa kuna meli haziwezi kutia nanga Dar kwa sababu ya kina cha Dar. Na kuna baaadhi ya ndege haziwezi kutua Dar kwa sababu ya ukubwa wake.

Ni sahahihi kabisa kujenge uwanja wa ndege mkubwa na wa kisasa Bagamoyo na bandari kubwa na ya kisasa bagamoyo. Bagamoyo na Dar sio mbali kabisa ijenngwe bara bara nzuri itakuwa poa. Tusipingie kila kitu kwa sababu serikali imeshindwa kuna mambo mazuri kwa nchi na hili la Bagamoyo nalikuli.
 
huyu anataka hata baada ya kuondoka madarakani akumbukwe huko kwao.. Its nonesense ..Nyerere alikataa wachaga kushika nchi lakini sasa hivi tunaona kuwa kila mtu ni mchaga.
 
Kwa kweli msongamano wa meli na mizigo bandari ya Dar unachangia kwa kiasi kikubwa kufanya gharama za kutoa mizigo na hatimaye bei ya bidhaa mbalimbali ikiwamo mafuta kuwa juu. Bora ijengwe tu bandari mpya Bagamoyo. Watu wengi wakipata kazi na kuhamia huko itaondoa congestion Dar.
<br />
<br />
kama umesoma maoni ya watu, wenye akili wange invest tanga si bagamoyo. kwanza bagamoyo ni karibu sana na dsm na kujenga bandari mpya ni ghali sana ukilinganisha na kupanua ban
https://www.jamiiforums.com
 
Kumbuka, bandari ya Dar Es Salaam ipo karibu kabisa na katikati ya jiji na pia ipo sehemu ambayo kuongezeka ukubwa ni tatizo na pia njia ya meli kufikia bandari ina kina cha maji ambacho hakikidhi kupitisha meli kubwa za kisasa. Tukitaka tusitake bandari mpya ni lazima ijengwe, Jee, mlitaka ikajemgwe Kilimanjaro?

Kuhusu uwanja wa ndege, hali ni hiyo hiyo, uwanja umeshakuwa mdogo kwa matumizi ya kisasa na upelekwe wapi? Bagamoyo ni KM 63 tu kutoka mjini Dar. Ni perfect choice kufanywa kuwa satellite city ya Dar. au mlitaka uwanja upelekwe Karatu?

Unayosema yana ukweli kiasi fulani lakini bado bandari na uwanja wa ndege havijatumika tu the maximum, hii inafanyika kisiasa zaidi kuliko kiuchumi.
 
Kumbuka, bandari ya Dar Es Salaam ipo karibu kabisa na katikati ya jiji na pia ipo sehemu ambayo kuongezeka ukubwa ni tatizo na pia njia ya meli kufikia bandari ina kina cha maji ambacho hakikidhi kupitisha meli kubwa za kisasa. Tukitaka tusitake bandari mpya ni lazima ijengwe, Jee, mlitaka ikajemgwe Kilimanjaro?

Kuhusu uwanja wa ndege, hali ni hiyo hiyo, uwanja umeshakuwa mdogo kwa matumizi ya kisasa na upelekwe wapi? Bagamoyo ni KM 63 tu kutoka mjini Dar. Ni perfect choice kufanywa kuwa satellite city ya Dar. au mlitaka uwanja upelekwe Karatu?

Sasa wewe naona ni kilaza wa hali ya juu, hatuwezi kukataa bandari au Airport kujengwa Bagamoyo tatizo ni conflict of interest.
Rais anatoka -Bagamoyo
Airport mpya- Bagamoyo
Bandari- Bagamoyo

Ni sawa kwa vitu vyote hivyo kupelekwa Bagamoyo? Kuna mikoa mingine Tanzania hata paved runway ya ndege hakuna! Tatizo lingine Pwani hakuna workforce, they are not hardworkers na HAWAWEZI kazi za shuruba
 
Sasa wewe naona ni kilaza wa hali ya juu, hatuwezi kukataa bandari au Airport kujengwa Bagamoyo tatizo ni conflict of interest.
Rais anatoka -Bagamoyo
Airport mpya- Bagamoyo
Bandari- Bagamoyo

Ni sawa kwa vitu vyote hivyo kupelekwa Bagamoyo? Kuna mikoa mingine Tanzania hata paved runway ya ndege hakuna! Tatizo lingine Pwani hakuna workforce, they are not hardworkers na HAWAWEZI kazi za shuruba

Hivi hapa Logic hipo wapi

Bagamoyo Hipo kati ya Dar es Salaam na Tanga, na Kote kuna Bandari Kubwa, kama waliona ya Dar imebana kwa nini wasingeiendeleza ya Tanga na kuipanua? kuliko kupoteza pesa kwa kufuata matakwa binafsi?
 
nadhani kuna watu wanafikiria kulipa fadhila kuliko kufikiria maendeleo zaidi..
huko bagamoyo kuna nini cha mno ????????????
 
Hivi Mwanza kwa utajiri mlio nao mikoa hiyo, kinawashinda nini kujenga uwanja wa ndege kupitia bajeti zenu za mkoa? mpaka mngoje Serikali kuu iwafanyie kila kitu? wacheni kuwa legelege, wakati wa kufanyiwa kila kitu na Serikali umepitwa na wakati.

Akiri zingine ni kuzione huruma tu! Baada ya halimashauri kukusanya mapatao asilimia inayobaki ni ndogo mno ndio kilio cha siku nyingi cha halmashauri zote ina maana waewe haulijui hilo,ndio maana sera ya majimbo inahtajika kuuvunja huu mfumo!
 
Back
Top Bottom