New International Airport and Port in Bagamoyo; hivi ni vipaumbele sahihi?

Mkuu Nyerere amejijengea nini Butiama? Hata nyumba ya kuishi alijengewa na Jeshi. Sasa sielewi labda utujuze mkuu. Inaonyesha una taarifa za ndani sana.

Kingine utake usitake. Bagamoyo siyo sawa kujenga Bandari Mpya. Kidogo naweza kukubaliana na uwanja wa ndege ila siyo Bandari.


Yeye kaingia madaraka kipaumbele chake cha kwanza ni kuanza kujijengea hekalu huko msoga. Alikuwa hana hata uhakika wa kupata awamu ya pili hivyo akaona ajiwahi. Mimi na sema kwa staili hii ya uongozi wake anaonyesha kila dalili za kushindwa lazima tufike mahahali tuangalie uwezekano wa kuchukua majengo yale kuyafanya vyuo au ya shughuli nyingine za kijamii. Kuna sababu gani ya kumuenzi mtu ambaye hana la maana alillofanya zaidi ya kuwaingiza wananchi wake kwenye shida ambazo hazionyeshi dalili yeyote ya kupatiwa ufumbuzi.

Mwingine anawambia Mwanza wajenge kwa hela za manispaa yao, tukuulize huu wa bagamoyo uanajengwa kwa fedha za halmashauri yao au ni za watanzania wote? hiyo bagamoyo ilikuwa na inamchango gani kwenye pato la tanzania mpaka sasa mlalamike kuwa ilikuwa marginalise, Nitaendelea kumfagilia sana Masaburi maana wenye sifa hizo ni wengi mno.
 
Kwa nini wajeruman walichagua bagamoyo kuwa bandari muhimu?

Usitake kuchanganya mambo wajerumani walikuta waarabu wameshaianzisha wao walifuatia tu. Kwanini waarabu mchangiaji hapo juu no. 15 kama sijakosea kashaelezea kitaalamu.

Biashara ya waarabu ilikuwa ya utumwa na vyombo vyao tunavijua. sasa sitaki kuamini kuwa mnataka kuturudisha kwenye biashara ya utumwa. Sitashangaa nitakapoambiwa mbia wa uwekezxaji wa bandari hapo bagamoyo ni mwarabu. Nasema sitashangaa.
 
Usitake kuchanganya mambo wajerumani walikuta waarabu wameshaianzisha wao walifuatia tu. Kwanini waarabu mchangiaji hapo juu no. 15 kama sijakosea kashaelezea kitaalamu. Biashara ya waarabu ilikuwa ya utumwa na vyombo vyao tunavijua. sasa sitaki kuamini kuwa mnataka kuturudisha kwenye biashara ya utumwa. Sitashangaa nitakapoambiwa mbia wa uwekezxaji wa bandari hapo bagamoyo ni mwarabu. Nasema sitashangaa.

Na wewe nae usitake kupotosha historia kuwa biashara ya utumwa ilifanywa na waarabu tu, wote walikuwa wanafanya biashara za utumwa enzi hizo, si mzungu si mwafrika si mwarabu.

Mswafanye waarabu tu kuwa ndio vinara kwa dini yao. hao watumwa waliuzwa na kushikwa na kina nani kabla ya waarabu kuwanunua? na wale Amerika walipelekwa na waarabu?
 
Na wewe nae usitake kupotosha historia kuwa biashara ya utumwa ilifanywa na waarabu tu, wote walikuwa wanafanya biashara za utumwa enzi hizo, si mzungu si mwafrika si mwarabu.Mswafanye waarabu tu kuwa ndio vinara kwa dini yao. hao watumwa waliuzwa na kushikwa na kina nani kabla ya waarabu kuwanunua? na wale Amerika walipelekwa na waarabu?

Mkuu Kuna mahali nimetaja wajerumani walifanya biashara gani tofauti na hii ya waarabu? Mbona una matatizo ya kujiamini?
 
Nimepitia Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na nimeshangaa sana pesa nyingi zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Bandari mpya na Uwanja wa ndege wa Kimataifa huko Bagamoyo, kilometa 80 tu kutoka Dar ambako kuna Bandari kuu yetu inayolegalega na Julius Nyerere Int Airport.

Wabunge walipiga sana kelele kuwa Reli ya Kati haijatengewa fedha za kutosha na imetelekezwa, ajabu hawakusema kitu kuhusu haya matumizi ya Ujenzi wa Uwanja wa Ndege na Port mpya Bagamoyo.

Je, twahitaji miradi hiyo Bagamoyo kwa sasa?

Time is running out and decision makers wameweka mbele ten percent, kufurahisha marafiki na kuacha legacy/kutafuta umaraafu. Utaligundua hili kama ukiangalia bandari mpya ya mbegani Bagamoyo jinsi mchakato wote ulivyoanza some years back, watu gani toka nje were involved to lobby, na nani hapa nyumbani wamehusishwa to see the project go through.

Otherwise kwanini hela za walipa kodi zipotee on a greenfield badala ya mfano kwenda fufua Tanga kwa nguvu zote.

Hii ingeleta ufanisi mkubwa sana kiuchumi pamoja na kurudisha hadhi ya mji wa tanga kama mji wa viwanda Tanzania.
 
Time is running out and decision makers wameweka mbele ten percent, kufurahisha marafiki na kuacha legacy/kutafuta umaraafu. Utaligundua hili kama ukiangalia bandari mpya ya mbegani Bagamoyo jinsi mchakato wote ulivyoanza some years back, watu gani toka nje were involved to lobby, na nani hapa nyumbani wamehusishwa to see the project go through. Otherwise kwanini hela za walipa kodi zipotee on a greenfield badala ya mfano kwenda fufua Tanga kwa nguvu zote. Hii ingeleta ufanisi mkubwa sana kiuchumi pamoja na kurudisha hadhi ya mji wa tanga kama mji wa viwanda Tanzania.

Good Point,

your old friend from H-TOWN.
 
mkuu si nimesikia kuna barabara itajengwa kutoka bagamoyo kuunganisha na tanga?

Barabara hii ni ile ya kutokea Msata! Lakini kwa uzito wa magari tuna hakika kuwa bandari yoyote kwa sasa ambayo haikujengwa karibu na reli itakuwa ni hasara kwa uharibifu wa barabara.

Nadhani wadau wamechangia hapa kiutaalam kuhusu ugumu wa kujenga bandari Bagamoyo. Ila mimi naona kama lengo ni kuweka bandari ndogo ya kuwezesha watu wa Bagamoyo, Zinga Kibaoni, Tegeta, kunduchi na Mbezi kusa kusafiri kirahisi kufika Dar hilo ni wazo safi sana.

Btn, kuna tetesi kuwa bidhaa nyingi toka Znzbr ikiwepo mafuta husafirishwa na kushushwa kwenye bandari bubu nyingi zilizoko bagamoyo. Hata hivyo bado mimi napingana na wazo la internationa airport kuwekwa Bagamoyo!

Hata hivyo kwa ndege zipi> Je huu upanuzi wa JKIA unaoendelea ni danganya toto? Nchi hii tunaVIPAUMBELE VINGI NA MWISHO WA SIKU TUNAJIKUTA HATUNA VIPAUMBELE BALI VIPAUNYUMA
 
Usitake kuchanganya mambo wajerumani walikuta waarabu wameshaianzisha wao walifuatia tu. Kwanini waarabu mchangiaji hapo juu no. 15 kama sijakosea kashaelezea kitaalamu. Biashara ya waarabu ilikuwa ya utumwa na vyombo vyao tunavijua. sasa sitaki kuamini kuwa mnataka kuturudisha kwenye biashara ya utumwa. Sitashangaa nitakapoambiwa mbia wa uwekezxaji wa bandari hapo bagamoyo ni mwarabu. Nasema sitashangaa.
<br />
sasa kuna tabu gani kuirudisha bandari na mji uliokuwa kiungo cha biashara toka karne hizo,huoni bagamoyo ni potential kibiashara kuliko sehemu nyingine?hao wawekezaji wa kihindi na kizungu wametufikisha wapi mpaka sasa?!
 
<br />
sasa kuna tabu gani kuirudisha bandari na mji uliokuwa kiungo cha biashara toka karne hizo,huoni bagamoyo ni potential kibiashara kuliko sehemu nyingine?hao wawekezaji wa kihindi na kizungu wametufikisha wapi mpaka sasa?!

Mkuu tabu huioni? Tabu ni pale mnapofanya maamuzi ya kuangalia interest za vitegauchumi na baashara zenu mkiaacha kuuongozwa na nia ya kweli ya kuwaondolea wananchi matatizo yao.

Kwangu mimi bandari ambazo zina tija kwa taifa ni Tanga na Mtwara. Uwanja wa ndege nii huu unaohitaji kupanuliwa wa Dar na kumalizia ule wa mbeya unaoendana na hii sera ya kilimo kwanza na kuelewa.

Hivi vya bagamoyo ukiniambia ni kwa manufaa ya biashara za hotel na malori na weza kukuelewa vilevile.
 
Nachojua kama hiyo miradi itakuwa implemented basi wakwere wachache waliosalia Bagamoyo itabidi watafute pori na waanze maisha mapya wale wale wajanja ndo watafaidi hizo fursa if at all zitakuwepo. Wazaramo kwani wako wapi siku hizi?
 
Hivi sasa hivi si uwanja wa ndege wa Dar unapanuliwa? Kuna haja kweli ya kujenga uwanja mwingine mpya kwa gharama kubwa wakati wamewavunjia watu nyumba zao Kipawa na kuwahamisha ili wapanue kile kiwanja na tayari mafundi wanaendelea na upanuzi kwa mabilioni ya pesa?

Kweli nafikiri tunatakiwa bongo zetu zikapimwe uzito kuna neourones nyingi sana inaonekana wabongo tunamiss lol
 
Kwa kweli msongamano wa meli na mizigo bandari ya Dar unachangia kwa kiasi kikubwa kufanya gharama za kutoa mizigo na hatimaye bei ya bidhaa mbalimbali ikiwamo mafuta kuwa juu. Bora ijengwe tu bandari mpya Bagamoyo. Watu wengi wakipata kazi na kuhamia huko itaondoa congestion Dar.
 
Sio vibaya hata kidogo kujenga bandari bagamoyo na uwanya wa ndege

tungejiuliza ni vipi vipaumbele vya hili taifa, kwa muda sasa kumejengeka tabia kila viongozi wanapokuja madarakani wanapeleka miradi mikubwa kwao,,,,
mfano ,
MSUYA,,, alipokuwa madarakani, ilipatikana umeme maji barabara na hata wilaya mpya ya MWANGA,
MRAMBA,,,alipokuwa waziri wa fedha alijenga barabara ya lami kwenda rombo ili hali kuna mikoa na wilaya hazina hata umeme
MAGUFULI,,, wilaya ya CHATO na barabara ya lami
PINDA,,,MKOA mpya WA KATAVI, CHUO KIKUU,
SOON, Bagamoyo,,tutapata, Bandari, Barabara, Uwanja wa ndege, kuna tetesi, WILAYA MPYA YA chalinze, hospital N.K

Raisi Msuya, Raisi Mramba, Raisi Magufuli, Raisi Pinda na sasa Raisi Kikwete, duh !
 
Raisi Msuya, Raisi Mramba, Raisi Magufuli, Raisi Pinda na sasa Raisi Kikwete, duh !

Acheni siasa zenu, lets be objective and keep to the facts. Kwenye tatizo la upungufu wa umeme mlikuwa wa kwanza kulialia na kujirudiarudia kama chorus ya kwaya kwamba ishu nzima imekuwa politicized. Halafu leo mnakuja na politically jaundiced statements kama hizi.
 
Hivi Mwanza kwa utajiri mlio nao mikoa hiyo, kinawashinda nini kujenga uwanja wa ndege kupitia bajeti zenu za mkoa? mpaka mngoje Serikali kuu iwafanyie kila kitu? wacheni kuwa legelege, wakati wa kufanyiwa kila kitu na Serikali umepitwa na wakati.
Bajeti za mkoa zinatolewa na serikali kuu. Labda tungekuwa na sera za majimbo kama walivyosema wakati mmoja Chadema ungekuwa na haki ya kudai hivyo. Hivi sasa kila kitu kinaamuliwa Dar-es-salaam.
 
Na wewe nae usitake kupotosha historia kuwa biashara ya utumwa ilifanywa na waarabu tu, wote walikuwa wanafanya biashara za utumwa enzi hizo, si mzungu si mwafrika si mwarabu.Mswafanye waarabu tu kuwa ndio vinara kwa dini yao. hao watumwa waliuzwa na kushikwa na kina nani kabla ya waarabu kuwanunua? na wale Amerika walipelekwa na waarabu?
Biashara ya utumwa ukanda wa afrika mashariki ilifanywa na waarabu. Hilo halina ubishi na halihusiani kabisa na dini yao. Ukanda wa magharibi hadi Congo na Angola ndio walikuwa wazungu kutoka Ulaya na biashara haikuhusiana na dini yao. Usibadilishe historia.
 
Its wrong kutumia mapesa kibao kwenye mambo ya anga.

  • Ni Reli ndio itatufanya tuzikamate Rwanda Burudi,Ugandana nchi nchingine za jirani na hivyo kutuweka katika nafasi nzuri kiuchumi kuliko kenya
  • Ni reli ndiyo itaogeza thamani ya bandari ya dar kwa nchi zinazotuzunguka kama zambia na yingnezo
  • Ni reli ambayo ni chazo cha kukuza ajira na biashara maneneombalimbaliiinapopta

Inaskiitihsa kusikia japo Rwanda na Burundi hazina mpaka na kenya bandari ya dar inashindan na bandari ya mombasa kupitisha bidhaaza za Rwanda na burudi . Bila reli imara na ya kiwango hata bandari hiyo ya bagamyo ikiwa na uwezo mara mbili ya dar itakuwa kazi bure. Na why not mtwara au Tanga

Inasiiktihsa kuona v ongzi wanatumia muda na rasillimali chache za fehda kuwekeza kwenye sekta amabzo zinatumiwa na watu wachache .Na inasikitisha kuwa wanafanya kosa la kuendelea kujuenga viwanja vya ndege na mbaya zaidi wanavijenga sehemu hazistahili

Kwa miaka 15 ijayo Sioni sekta ya anga kama ina faida kwa uchumi, mundombinu,ajira usafiri kwa watanzania.

kuweka siasa kwenye mambo ya muhimu yanahytaji utaalamu kutatufikisha pabaya.
 
Back
Top Bottom