New Habari (2006) Ltd imefulia... Nani alaumiwe?

Kila mtu anapewa tunu yake kutokana na mazingira yake, Muhingo nae alikuwa ana matarajio mengi sana ya kupata vyeo hasa baada ya kutimuliwa kazi Mwananchi kwa kuedit picha ya Salim Ahmed Salim, mwenzie akapewa kuwa mwandishi wa habari wa waziri mkuu, yeye akapigwa bench, akajaribu kuomba u-DC bila mafanikio, na sasa anajituma kweli kwa Shein ili apelekwe ikulu ya Zanzibar.....

Niliwauliza watu wa usalama kwa nini Muhingo hapewi post wakanijibu fanya nae kazi uone uzima wa kichwa chake kwanza. Na kweli tangu nimekuwa nae hapa New Habari amashatangaza kutaka kuacha kazi zaidi ya mara tatu then anarudi tena....... mara anajifanya yeye ni CEO anajifanya yuko karibu na Mengi, Rostam na hata Lowassa.
khaa, kumbe mpo wengi, RA naye yupo humu au ndiye MS
 
inaelekea waandishi wa habari wa Tz wengi wenu mmenunuliwa na kundi la mafisadi...ok endeleeni kuchambuana tuwajue zaidi
 
inaelekea waandishi wa habari wa Tz wengi wenu mmenunuliwa na kundi la mafisadi...ok endeleeni kuchambuana tuwajue zaidi

tatizo wanapenda sana kushibisha matumbo kwa kula vya dhuluma
kuliko kushibisha ufahamu wao kwa kutafuta sana hekima na busara,
kumepelekea waandishi wengi wa Tz akili zao kushikiliwa na ujinga,
na hivyo kuonekana woote ni 'SHAKE WELL'
 
Huyu makene na wenzake wenye akili kama zake wamejiaminishaa kuwa kwa kuwatumia mafisadi wataishi maisha ya pepo hapa nchini. ni bahati mbaya vyombo vingi vya habari (98%) vinaongozwa na kusimamiwa na mafisadi.

waandishi wa habari nchini kwa uelewaa wao na uwezo wao kimaadili ya taalumaa ni mafisadi wa mawazo asilimia 98 pia.

kama jamii tuna changamoto kubwa ya kuijenga tasnia ya habari yenye maadili na neema kwa umma.

hivi huyu bashe naye ni mwaandishi wa habari?? sijaona makala au habari zakuandikwa naye ila yaonekana anaushawishi wa kuchocheaa kutolewa habarii..!!!!
 
Makene, Balile , Manyerere, Muhingo,........na makuwadi woote wa mafisadi, nawapa salamu moja, mtatumika sana kama Kondom , kisha watawatupa na kuwakanyaga, angalia Charles Charles anavyoyumba, muangalia Prince Bagenda anavyotia Huruma, woote mtabakwa na dhamira zenu zitawasuta.
 
Kampuni ya magazeti ya New Habari(2006) Ltd inasemekana kuwa na hali mbaya aka imefulia mpaka kuloweka kiasi cha wafanyakazi wake kuwa katika wakati mgumu,kutokulipwa mishahara yao kwa miezi mitatu, chanzo cha habari kimethibitisha hilo.

Wafanyakazi wake wamekuwa wakilalamika bila mafanikio hali ngumu inayowakabili,huku wengine wakiwa na matumaini kuwa hali inaweza kubadilika,ukweli ni kwamba kumekuwa na matumizi mabovu ya fedha za kampuni zinazotafunwa na raia wachache wakigeni(gabachorizz) pamoja na wapambe wachache wa kiafrika.

Hali ya wafanyakazi imekuwa mbaya kiasi cha wafanyakazi wengine kushindwa kufika kazini,wengine wakihaha kutafuta kazi za nje ili mradi maisha yaende vizuri.

Mmoja wa wafanyakazi aliyefanikiwa kupata kazi sehemu nyingine alisema hali hii katika ile kampuni ni ngumu kuisha na sababu kubwa ni uongozi wa kigeni ulioko pale ambao unajali zaidi na unaendekeza ubaguzi wa rangi kwa kuwaajiri zaidi magabachori na kuwalipa fedha nyingi hao magachori pasipo kufanya kazi yoyote (alitoa mfano wa gabachori anayeitwa JP).

Mfanyakazi mwingine alihoji ni kwanini mmiliki wa kampuni hii (RA) anakuwa kimya pamoja na matatizo yote hayo yanayotokea,,ina maana hajui kinachoendela katika kampuni yake au anakubaliana na hali halisi iliyoko kwenye kampuni yake.

Ukweli hali ni mbaya sana pale NHC,wafanyakazi wake wamekuwa kama wamechanganyikiwa haswa pale uongozi unapokuwa kimya bila kutoa taarifa yoyote kuhusiana na nini kinaendelea katika kulikabili hili tatizo,wenigne wamekuwa wakimkumbuka CEO wao wa zamani Bi R.Mwakitwange nakusema afadhali ya bi Rosemary kuliko huu uongozi wa kigabachori unajumuisha undugu.

Niwaachie uongozi wa NHC 2006 kulishungulikia suala hili maana wafanyakazi wake wameshachoka kiasi cha kutotamani hata kumuona CEO wao akifika kazini na kukaa chini ya miti na kuvuta sigara pasipo kufikiria suluhisho la kuiokoa kampuni,na suala la CEO kupelekwapelekwa kama bendera na waafrika wanaojali matumbo yao kama(B.Mhina).

Mtetea haki za wanyonge aka kifaa.
 
Makene, Balile , Manyerere, Muhingo,........na makuwadi woote wa mafisadi, nawapa salamu moja, mtatumika sana kama Kondom , kisha watawatupa na kuwakanyaga, angalia Charles Charles anavyoyumba, muangalia Prince Bagenda anavyotia Huruma, woote mtabakwa na dhamira zenu zitawasuta.

Nimecheka mpaka wezangu hapa wanishangaa, MSG nzuri sana
 
Kampuni ya magazeti ya New Habari(2006) ltd inasemekana kuwa na hali mbaya aka imefulia mpaka kuloweka kiasi cha wafanyakazi wake kuwa katika wakati mgumu,chanzo cha habari kimethibitisha hilo.

Wafanyakazi wake wamekuwa wakilalamika bila mafanikio hali ngumu inayowakabili,huku wengine wakiwa na matumaini kuwa hali inaweza kubadilika,ukweli ni kwamba kumekuwa na matumizi mabovu ya fedha za kampuni zinazotafunwa na raia wachache wakigeni(gabachorizz) pamoja na wapambe wachache wa kiafrika.
Hali ya wafanyakazi imekuwa mbaya kiasi cha wafanyakazi wengine kushindwa kufika kazini,wengine wakihaha kutafuta kazi za nje ili mradi maisha yaende vizuri.

Mmoja wa wafanyakazi aliyefanikiwa kupata kazi sehemu nyingine alisema hali hii katika ile kampuni ni ngumu kuisha na sababu kubwa ni uongozi wa kigeni ulioko pale ambao unajali zaidi na unaendekeza ubaguzi wa rangi kwa kuwaajiri zaidi magabachori na kuwalipa fedha nyingi hao magachori pasipo kufanya kazi yoyote(alitoa mfano wa gabachori anayeitwa JP).

Mfanyakazi mwingine alihoji ni kwanini mmiliki wa kampuni hii (RA) anakuwa kimya pamoja na matatizo yote hayo yanayotokea,,ina maana hajui kinachoendela katika kampuni yake au anakubaliana na hali halisi iliyoko kwenye kampuni yake.

Ukweli hali ni mbaya sana pale NHC,wafanyakazi wake wamekuwa kama wamechanganyikiwa haswa pale uongozi unapokuwa kimya bila kutoa taarifa yoyote kuhusiana na nini kiaendelea katika kulikabili hili tatizo linaloendelea,wenigne wamekuwa wakimkumbuka CEO wao wa zamani Bi R.Mwakitwange nakusema afadhali ya bi Rosemary kuliko huu uongozi wa kigabachori unajumuisha undugu.

Niwaachie uongozi wa NHC 2006 kulishungulikia suala hili maana wafanyakazi wake wameshachoka kiasi cha kutotamani hata kumuona CEO wake akifika kazini na kukaa chini ya miti na kuvuta sigara pasipo kufikiria suluhisho la kuiokoa kampuni,na suala la CEO kupelekwapelekwa kama bendera wa waafrika wanaojali matumbo yao kama(B.Mhina).

Mtetea haki za wanyonge aka kifaa.
 
Kampuni ya magazeti ya New Habari(2006) ltd inasemekana kuwa na hali mbaya aka imefulia mpaka kuloweka kiasi cha wafanyakazi wake kuwa katika wakati mgumu,chanzo cha habari kimethibitisha hilo.

Wafanyakazi wake wamekuwa wakilalamika bila mafanikio hali ngumu inayowakabili,huku wengine wakiwa na matumaini kuwa hali inaweza kubadilika,ukweli ni kwamba kumekuwa na matumizi mabovu ya fedha za kampuni zinazotafunwa na raia wachache wakigeni(gabachorizz) pamoja na wapambe wachache wa kiafrika.
Hali ya wafanyakazi imekuwa mbaya kiasi cha wafanyakazi wengine kushindwa kufika kazini,wengine wakihaha kutafuta kazi za nje ili mradi maisha yaende vizuri.

Mmoja wa wafanyakazi aliyefanikiwa kupata kazi sehemu nyingine alisema hali hii katika ile kampuni ni ngumu kuisha na sababu kubwa ni uongozi wa kigeni ulioko pale ambao unajali zaidi na unaendekeza ubaguzi wa rangi kwa kuwaajiri zaidi magabachori na kuwalipa fedha nyingi hao magachori pasipo kufanya kazi yoyote(alitoa mfano wa gabachori anayeitwa JP).

Mfanyakazi mwingine alihoji ni kwanini mmiliki wa kampuni hii (RA) anakuwa kimya pamoja na matatizo yote hayo yanayotokea,,ina maana hajui kinachoendela katika kampuni yake au anakubaliana na hali halisi iliyoko kwenye kampuni yake.

Ukweli hali ni mbaya sana pale NHC,wafanyakazi wake wamekuwa kama wamechanganyikiwa haswa pale uongozi unapokuwa kimya bila kutoa taarifa yoyote kuhusiana na nini kiaendelea katika kulikabili hili tatizo linaloendelea,wenigne wamekuwa wakimkumbuka CEO wao wa zamani Bi R.Mwakitwange nakusema afadhali ya bi Rosemary kuliko huu uongozi wa kigabachori unajumuisha undugu.

Niwaachie uongozi wa NHC 2006 kulishungulikia suala hili maana wafanyakazi wake wameshachoka kiasi cha kutotamani hata kumuona CEO wake akifika kazini na kukaa chini ya miti na kuvuta sigara pasipo kufikiria suluhisho la kuiokoa kampuni,na suala la CEO kupelekwapelekwa kama bendera wa waafrika wanaojali matumbo yao kama(B.Mhina).

Mtetea haki za wanyonge aka kifaa.
pole kifaa mfanyakazi wa New habari corporation, maana yake hii ni post yako ya kwanza na ya pekee so far
.
 
Kampuni ya magazeti ya New Habari(2006) Ltd inasemekana kuwa na hali mbaya aka imefulia mpaka kuloweka kiasi cha wafanyakazi wake kuwa katika wakati mgumu,kutokulipwa mishahara yao kwa miezi mitatu, chanzo cha habari kimethibitisha hilo.

Wafanyakazi wake wamekuwa wakilalamika bila mafanikio hali ngumu inayowakabili,huku wengine wakiwa na matumaini kuwa hali inaweza kubadilika,ukweli ni kwamba kumekuwa na matumizi mabovu ya fedha za kampuni zinazotafunwa na raia wachache wakigeni(gabachorizz) pamoja na wapambe wachache wa kiafrika.

Hali ya wafanyakazi imekuwa mbaya kiasi cha wafanyakazi wengine kushindwa kufika kazini,wengine wakihaha kutafuta kazi za nje ili mradi maisha yaende vizuri.

Mmoja wa wafanyakazi aliyefanikiwa kupata kazi sehemu nyingine alisema hali hii katika ile kampuni ni ngumu kuisha na sababu kubwa ni uongozi wa kigeni ulioko pale ambao unajali zaidi na unaendekeza ubaguzi wa rangi kwa kuwaajiri zaidi magabachori na kuwalipa fedha nyingi hao magachori pasipo kufanya kazi yoyote (alitoa mfano wa gabachori anayeitwa JP).

Mfanyakazi mwingine alihoji ni kwanini mmiliki wa kampuni hii (RA) anakuwa kimya pamoja na matatizo yote hayo yanayotokea,,ina maana hajui kinachoendela katika kampuni yake au anakubaliana na hali halisi iliyoko kwenye kampuni yake.

Ukweli hali ni mbaya sana pale NHC,wafanyakazi wake wamekuwa kama wamechanganyikiwa haswa pale uongozi unapokuwa kimya bila kutoa taarifa yoyote kuhusiana na nini kinaendelea katika kulikabili hili tatizo,wenigne wamekuwa wakimkumbuka CEO wao wa zamani Bi R.Mwakitwange nakusema afadhali ya bi Rosemary kuliko huu uongozi wa kigabachori unajumuisha undugu.

Niwaachie uongozi wa NHC 2006 kulishungulikia suala hili maana wafanyakazi wake wameshachoka kiasi cha kutotamani hata kumuona CEO wao akifika kazini na kukaa chini ya miti na kuvuta sigara pasipo kufikiria suluhisho la kuiokoa kampuni,na suala la CEO kupelekwapelekwa kama bendera na waafrika wanaojali matumbo yao kama(B.Mhina).

Mtetea haki za wanyonge aka kifaa.

Hii ni taarifa au malalamiko? Je unataka tuchangie nini hapa? Mimi nadhani umeshahitimisha vizuri kuwa tuwaachie ongozi wa NHC 2006 kulishughulikia hili tatizo.
 
Pole sana Kifaa. Binafsi namshangaa RA alivyoiacha kampuni yake hadi kufikia hapo. Ila nakushauri pamoja na wengine, endeleeni na juhudi za kutafuta kazi kwingine. Kila la kheri
 
.....you have made my day....teh ..teh..teh!!! nimefurahi sana, kampuni kufulia japo nasikitika kwa hao watanzania wenzangu weusi!! acha kufulia, ife kabisa! kampuni ya kifisadi!
 
laaana inawatafuna, baada ya kumrudisha Fisadi mtoto Manyerere Jacton, moyoni mwangu ikajisemea, sasa upele umepata mkunaji, mlambaji miguu ya mabasha/Dons wenye pesa ameingia kunako upele. sasa akakuna sana, muwasho haushi, akawatumikia mafisadi papa yeye kina Balile , na mzee Muhingo , wakaona maisha ya wabaya wao yanaendelea.
RA kama alivyo Manji, hutumia pesa nyingi ili kupata ufalme wa dunia hii, wako tayari kutoa Million mia tano kuwezesha ujiko fulani kupatikana , lakini akashindwa kutoa millioni mia 2, kuweza NHC kuweza kuinuka tena.
serikali imewabeba vya kuosha wale NHC kupitia matangazo, kwasababu ya ukosefu wa management hawabebeki.
nasikia pia Channel Ten iko kwenye Imaya yake, na iliwahi kudaiwa hata clouds FM alitaka kujipenyesha hii yote ni katika kutimiza matakwa yake yakujipatia umaarufu na sifa za kijinga hapa duniani.
 
Source: www.eastafricanpress.net http://www.eastafricapress.net/index.php?option=com_content&task=view&id=558&Itemid=79

Is Mwakitwange losing grip of New Habari?

Even though there have been many external and internal wrangles involving media houses in east Africa, internal wars are now becoming surprisingly too common, with Tanzania faithfully taking cue from its neighbours. Cat fights that pitted four employees of New Habari Media Group against their Chief Executive Officer, Rosemary Mwakitwange, a war many thought was over, has just resurfaced.

The Employees - ex-editor of RAI, Muhingo Rweyemamu, ex-editor of Mtanzania, Deus Balile, Finance Director, Shylen Shangankaa, also known as Bobby, and ex-news editor of Mtanzania, Manyerere Jackton - are divided into factions, each pledging loyalty to its own set of bosses. The struggle started when Mwakitwange was appointed CEO of the giant media house.

Close to hostile communication between the editors and the CEO gave the impression of a frustrated, resentful and disrespectful staff, something that caused the four to be shown the door. In her term as CEO, Mwakitwange has been credited with turning the company around financially, boosting staff morale and improving facilities in the lead up to the recent re-launch. It has however also been during her tenure that relationship with senior journalists has deteriorated to a point of the four writers being thrown out, and this with the backing of the owners of the company.

New Habari Media Group, formerly Habari Corporation Limited, re-launched its products at a colourful ceremony in Dar es Salaam graced by Kenya's Prime Minister, Raila Amolo Odinga. It was after the re-launch that fresh intrigues begun to unfold, leaving many stupefied.

Mwakitwange had the first laugh when she pushed the four journalists out. Bobby was shoved aside after police pounced on him over issues connected to his accounts. And, rather than face the sack, Muhingo opted for a 24-hour notice of resignation while Manyerere had to be shown the door because he could no longer see eye - to - eye with the CEO. Balile, editor of the company's flagship, Rai, was suspended on grounds of poor performance.

But even before the ink on Rosemary's pen could dry, the four regrouped and aimed for her jugular, this time with the full backing of the owner, Rostam Aziz, leaving Mwakitwange in an awkward position. Sources indicate that Rostam is uncomfortable with the way CEO is running the business - too profit oriented and politically insensitive. The investor has suddenly brought Muhingo, who had sworn to return to New Habari with a bang, and his three colleagues back just when Mwakitwange had taken leave. Much more is happening at the company, in a way blurring her financial recovery plan, and thus creating anxiety and uncertainty for employees. Recommendations by consultant Jerry Okungu, a consultant from Nairobi, to fold some titles and merge others have been reversed. For instance, Dimba, which had given way to Bingwa, is back on the newsstands.

This comes amid speculation that Rosemary is no longer the CEO of the company. "We are told she has a much higher post now. She is now the Group Managing Director and that someone else will take her position, but this new appointee will be reporting to he, which means there will be no CEO at New Habari," an editor told ET in early November.

But speculation is rife as to the real value of her new position. Interestingly, though, one of the directors and a close associate of Rosemary, Ben Mhina, has been appointed acting CEO. But the new team also includes Rosemary's foes. Muhingo is now the Managing Editor, also doubling up as editor of Rai. There is also ex-Mwananchi On Sunday News editor, Boniphace Makene, who is now the News Editor of Rai. Deus Balile, who temporarily managed Rai, is the Business Editor of Mtanzania, while Manyerere comes back as news editor of Mtanzania on Sunday.

In an interview, however, Rosemary defended her iron - fisted management, arguing it is for the good of the company. "My brief tenure has seen robust changes not only in the image of New Habari Media Group but to the employees too," she said. On the reinstatement of the people she had fired, she said: "The decision to reinstate the people I parted ways with is suspect and cannot be for the good of the business. Why was it taken when I was on leave? But, generally, I have to respect the interests of the owner."

She said when took up the job, she was given clear terms and responsibilities for her position and she chooses to interpret the proprietor's decision only from this perspective," she said. Naturally, she said she would have to make a tough decision on whether to accept to work the people she had fired. "So far I am on leave and have information that I have been assigned some other duties but I am still thinking of what to do next. By the time my leave ends, I shall have made a decision," she said.

But Muhingo insists the relationship he has with Mwakitwangwe is cordial, and moved to quickly deny allegations against him. He said she had approved his resignation and gave him 24 - hours to vacate. "Who said I was sacked? I'm a seasoned journalist who joined Habari Corporation in 1995 till 1997 then left briefly to complete a book I was writing," he said, adding he returned in 2006 and it was the same Mwakitwangwe, who received him.

He insists he has no problem working with Mwakitwangwe because, as he prefers to argue, there are no differences between them. "We work comfortably and amicable. Where we differ, we discuss and come up with a solution." Muhingo and colleagues have however been asked to lie low and concentrate on serving the interests of the proprietor.




Mi namfahamu kidogo bi Rosemary M,ni mchapakazi mzuri,anafaa kuwa kiongozi huwa hana masuala ya kujuana,ni mtu mwenye akli ya maendeleo,amewawezesha wafanyakazi wengi sana popote alipokuwa akifanya kazi kama kiongozi,yeye ni binadamu mapungufu anayo ila kwa pale New Habari ni mazingira yaliyomzunguka ndo yalimfanya aondoke
 
Mlichagua wenyewe kukaa pale mkijua mko chini ya fisadi papa nyangumi. Vumilieni tu. Nyie wote ni wale wale.
 
Boniface Makene namfahamu vizuri sana, tulikuwa bweni moja pale Mkwawa High School, pia tukawa wote UDSM, the guy is opportunist, ana majivuno yaliyopita mpaka, anapenda makuu, anajiona kuwa juu ya kila mtu.

Pia ana sifa nzuri, mojawapo ni kujiamini na uwezo wake mkubwa wa kujieleza. Huyu hawezi kufanya kazi na mtu yeyote awe fisadi au mtakatifu labda awe bosi wa wote.

A piece of advice, Makene (najua tupo sote hapa JF) jaribu kupunguza u-opportunist, jifunze kuishi na watu; zaidi try to stand on a right side na utumie elimu na ujuzi wako vizuri. Sorry I look too personal, but they are many guys like you, have to get this message... yamkini watasikia na kubadilika.

Namfahamu huyu kijana tangu akiwa O-level Ihungo Secondary. Aliwahi kuwa HP wa shule ile japo uongozi wake haukuwa mzuri hata kidogo kama mdau anavyomuelezea. Kulikuwa na mtafaruku mkubwa kati yake na wanafunzi wa Alevel. Kwani ni nani pale New Habari?

Kwa ujumla hauwezi kunishawishi hata siku moja nisome magazeti ya New Habari (2006) Ltd. Fisadi alinunua brand akadhani kamaliza na Goodwill atabaki nayo milele. Kwishne. Lakini anaweza kuchomoa kutoka vyanzo vingine vya kifisadi kuendesha hivyo hivyo kwa hasara ili kulinda maovu yake waliyokuwa wakiyaficha maana akiachia kundi lote hili liingie mtaani kuganga njaa watamuanika zaidi na mafisadi wenzake
 
Makene, Balile , Manyerere, Muhingo,........na makuwadi woote wa mafisadi, nawapa salamu moja, mtatumika sana kama Kondom , kisha watawatupa na kuwakanyaga, angalia Charles Charles anavyoyumba, muangalia Prince Bagenda anavyotia Huruma, woote mtabakwa na dhamira zenu zitawasuta.

Bashe? (RA-NHC) + Dr Hamis Kigwangala? (NGO-Mama Salma K) + Selelii? (Vuvuzela la ufisadi et al)*************????????????????????????
 
Back
Top Bottom