Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Media House hii itaendelea kupumulia kwa mashine ICU hadi lini? habari zilizopatikana kutpoka hapo zinasema mmiliki, "anayesadikiwa" kuwa ni RA, hataki kutoa hata senti moja kusaidia kulipa mishahara kwani kuna ukata wa hali ya juu.
Wafanyakazi hawajalipwa miezi miwili sasa (Feb na Mar) na yote hii ni tangu mdosi Bobby ashike u-CEO na Muhingo kuwa Mhariri Mkuu (Managing Editor). Bobby ni customer mkuu wa ma-casino ya Dar, na Muhingo ni mlamba viatu mkuu wa RA, na ambaye yeye, Balile na Manyerere kazi yao kuu ni kumsafisha huyo muajiri wao. Katika hali hii kuna biashara hapo?
Wafanyakazi hawajalipwa miezi miwili sasa (Feb na Mar) na yote hii ni tangu mdosi Bobby ashike u-CEO na Muhingo kuwa Mhariri Mkuu (Managing Editor). Bobby ni customer mkuu wa ma-casino ya Dar, na Muhingo ni mlamba viatu mkuu wa RA, na ambaye yeye, Balile na Manyerere kazi yao kuu ni kumsafisha huyo muajiri wao. Katika hali hii kuna biashara hapo?