Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,177
- 43,949
Waulize abiria wa nyanda za juu kusini hizo ndio chuma pendwa kwaoKama ni hivyo,hawaziwezi mbio.Waende mwendo wao wa kobe/maringo tu.Mambio wawaachie wanaoziweza na hawaangushi gari kifo cha mende.