Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,311
- 16,493
uhakiki wa leseni umeisha july 2023, labda wao hawakuhusika.
Ina maana kampuni yao imejaa madereva makanjanja.Angekuwa anayepata ajali ni mmoja tu ingekubalika.uhakiki wa leseni umeisha july 2023, labda wao hawakuhusika.
Naona sasa umeishiwa hojaUfuatiliaji ungekuwa mwepesi kwa kuanza kwako kutoa muongozo wa taarifa ilivyokuwa.
NB:New Force wanakwama.
Vinajipiga mieleka hovyohovyo.Hilo nalo naeleza urongo?Naona sasa umeishiwa hoja
Vyuma vinakula buyu vyuma vipya kutoka Shandong China vinashuka
Wanakwama wapi mkuu?
Hayo ni maoni yako hatuyapuuzi lakiniVinajipiga mieleka hovyohovyo.Hilo nalo naeleza urongo?
hirizi ni ushirikina, ushirikina huvutia ulogi. Wachawi hupimana nguvu za kichawi ili kutawala. Ni utawala wa nguvu za gizaMagari yao yana hirizi, sasa ni nani anaye waroga?
AshenadleTatizo ni kubwa sana ila umahili wa hawa madereva umepunguza asilimi 80% za ajali,
jaribu kuendesha gari masaa 10 bila kupumzika kwa spidi ya 80k/h ndio utajua changamoto za barabara miundombini ya single road Dar _Mbeya ni hatari sana na hii serikali ndio chanzo cha ajali zote hizi piga chini ccm piga chini samia
Scania za kampuni gani?Ishu ni madereva,mbona zinapata tu
Ila sio salamaSi kweli
Tatizo la New Force ni madereva wako rafu sana barabarani
Zhong Tong ni basi za kazi kama Scania
NditooAshenadle
Watu wa hovyo wanatafuta marejesho kwa damu za watu wasio na hatia. Mungu yehova awakemee.Ndani ya miezi mitatu mna zaidi ya ajali kumi.
Golden Deer 🦌 imelala chali.
Ndani ya miezi mitatu mna zaidi ya ajali kumi. Achaneni na Sauli hamumuwezi, thaminini uhai, usalama na maisha ya abiria wenu.
Jifunzeni kutoka kwa Scandinavia View attachment 2711304Mkuu TZS1127 kuna watu walikuwa hawajazaliwa humu Jf ujue!
Golden Deer 🦌 imelala chali.
Ndani ya miezi mitatu mna zaidi ya ajali kumi. Achaneni na Sauli hamumuwezi, thaminini uhai, usalama na maisha ya abiria wenu.
We Panda zingineKwahiyo mkwe nikienda Kyela nisipande hiyo gari eeeh
Upande New Force umeichoka roho yako?Kwahiyo mkwe nikienda Kyela nisipande hiyo gari eeeh
"Jifunzeni kutoka kwa Scandinavia"
Golden Deer 🦌 imelala chali.
Ndani ya miezi mitatu mna zaidi ya ajali kumi. Achaneni na Sauli hamumuwezi, thaminini uhai, usalama na maisha ya abiria wenu.
Akili za KICHOKO ndio hizi sasaKaka, shida wanafukuza chuma cha wanazi Gemilang.
Fuata chuma upasue busta, #Sauli ni noma
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app