Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,765
- 45,515
Karibu asilimia 90 ya electric buses zilizo Ulaya ni Chinese brandsKwa ubora wa magari mzungu anakimbiza soko la bongo na duniani kote
Karibu asilimia 90 ya electric buses zilizo Ulaya ni Chinese brandsKwa ubora wa magari mzungu anakimbiza soko la bongo na duniani kote
Zhong tong hana air suspension , ndoo maana ukipanda basi za kichina uwe makini kwenye kuchagua seat ya kukaa , siti za nyuma zinarusha kama mabasi ya kikoloniSi kweli
Tatizo la New Force ni madereva wako rafu sana barabarani
Zhong Tong ni basi za kazi kama Scania
Kwa uuzaji sawa kwa ubora hapana.Duniani ukimaanisha sokoni Mchina anawakimbiza hao wote
Basi linawaka na kuteketea zima zima hapana mchina katisha.Ubora na viwango European watabaki kuwa bora tu kwa wakati wote.Na sasa hivi haya matoleo ya mchina kabana injini kubadilishwa kirahisi.Hivyo baada ya muda kubadili engine,gear box na diff kuweka ya scania itakuwa ngumu,likifa una hela ya kuweka injini mpya ya kichina gari linapaki.Zilikuwa zikipata ajali,ila angalia miundo mbinu wakati huo na sasa,angalia teknolojia ya magari wakati huo na sasa….ukija kwa sasa fanya tafiti njia hyo hyo ya dar-mbeya mabasi mangapi aina ya European na mchina yaliyopata ajali,halafu fuatilia mfumo wa kimakenika wa basi za European na basi za mchina unaweza ukapata kitu
Mkuu hizi Zhongtong Climber Mega mchina kaweka limit kwenye engine bay huwezi kuweka ya Scania?Basi linawaka na kuteketea zima zima hapana mchina katisha.Ubora na viwango European watabaki kuwa bora tu kwa wakati wote.Na sasa hivi haya matoleo ya mchina kabana injini kubadilishwa kirahisi.Hivyo baada ya muda kubadili engine,gear box na diff kuweka ya scania itakuwa ngumu,likifa una hela ya kuweka injini mpya ya kichina gari linapaki.
Yutong mpya engine ikichoka uwezi weka ya Scania itakubidi uweke injini ya Yutong Cummins etc hila Zhongtong sijajua japo matoleo yote ya nyuma.ya kichina yalikuwa unaweza kumodify kwa kuvalisha engine ya scania diff na gear box.Mkuu hizi Zhongtong Climber Mega mchina kaweka limit kwenye engine bay huwezi kuweka ya Scania?
Km mpk wewe umekubali Baasi hazifaii hizooHizo gari zinakimbia mno
Ule mwendo haufai
Mimi ni mdau wa mambio,lakini siyo kama hizi new force zinavyokimbia..nimenyoosha mikono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaahh...wapuuziSauli hana gari siku hizi
Na kama zipo ni mbili
Nazo hazisafiri kila siku.
Wamegeuka matapeli,wanakatisha watu tiketi wakijua kabisa gari hakuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari inakimbia utadhani mnawahi kuzimuKm mpk wewe umekubali Baasi hazifaii hizoo
Sana BinaKaahh...wapuuzi
Umetisha mkuuBaadhi ya basi za kichina manufacturers anaweka option ya basi kuja na retarder. Na retarder za kwenye basi za kichina zinazokuja ni Eddy Current Retarder hii efficiency yake huwa inapungua maji yakigusa na inatumia umeme.
Kwenye Golden Dragon za UDART mchina kafunga gearbox ya Voith na hydraulic retarder.
European manufacturers wanatumia hydraulic retarder ukicheki kuanzia Volvo,Scania,Man Diesel,Daf,Iveco etc.
Retarder ya Bus za kichina na Scania au European brand uwezi linganisha, dereva wa Scania ana faida kubwa kwenye Braking ukiacha kutumia pedal brake, retarder iliyopo kwenye gearbox inampa faida kwenye brake.
Baadhi ya basi za kichina manufacturers anaweka option ya basi kuja na retarder. Na retarder za kwenye basi za kichina zinazokuja ni Eddy Current Retarder hii efficiency yake huwa inapungua maji yakigusa na inatumia umeme.Kwamba ni matatizo ya kiufundi ndio hupelekea ajali za New force kuwa nyingi? Yanaweza kuwa yepi Mkuu?
Wamekutana na matajiri wa Kusini huko ni watu hatari sana!
Golden Deer 🦌 imelala chali.
Ndani ya miezi mitatu mna zaidi ya ajali kumi. Achaneni na Sauli hamumuwezi, thaminini uhai, usalama na maisha ya abiria wenu.