Kwa wakazi wa Moshi tunapata wapi kadi?
Ungetumia nafasi hiyo kueleza mahali pa kupata kadi za chama chenu ingekuwa na tija zaidi badala ya kuleta mambo ya ukabila yasiyo na mvuto wala mashiko hapa jamvini. Ccm mnapaswa kuwa wabunifu ili muweze kushindana na mziki wa cdm. Lakini kama mambo yenyewe ndo hayo tu ya tribalism, basi mjue cdm wameshawapiga bao la kisigino.Makabila mengine tunaruhusiwa kujiunga? Eti kuna mtu alinidanganya kuwa CHADEMA ni taasisi ya wachaga.
Asante mkuu nitamtafuta ila ungenipa mob yake nitafurahi pia1fika nianjema high school uliza mr Ruge ni mwenyekiti cdm bagamoyo utapata
aliyekwambia ni jini mtabiri vifo vya watu maharufu kama shekhe AMESHAKUFA.Makabila mengine tunaruhusiwa kujiunga? Eti kuna mtu alinidanganya kuwa CHADEMA ni taasisi ya wachaga.
mercenery.Kadi za chama chooni tena? Au unamaanisha chuo
vioja vimeanza nyie hamkosi..magwanda mna matatizo, kadi za chadema za nini?