kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
kivuko ni sawa na daraja ndugulile ndo kachemsha so kipo chini ya wizara ya ujenzi it seems hawa watu hawajui wanachokifanya
Aseee!!! Ni kweli lakini?
kivuko ni sawa na daraja ndugulile ndo kachemsha so kipo chini ya wizara ya ujenzi it seems hawa watu hawajui wanachokifanya
hiyo ni strategy ya kuwaondoa kigamboni ili bush aingie kilaini
Kupiga mbizi tu ndo suluhu ya hili tatizo.
na wewe ni Great Thinkers? kitu gani ambacho hukumwelewa mleta mada kama huna cha kuandiaka kojoa ukalale kima wewe....Nauri? Hapana ni nauli
Naomba mwenye uelewa na haya mambo atusaidie, Energy and Water Utilities Regulatory Authority inaingiaje hapa? Au ile WATER inamaanisha na boti, vivuko, kambale nk.
Tumethubutu, tumeweza na tuna songa mbele....Kidumu chama cha Mafisadi....Kuna kigezo kimoja Magufuri alikitumia aliposema Mshahara wa Miaka kumi na sita iliyopita kima cha chini kilikuwa ni 45,000/= Rates ya Dollar ilikuwa ni $500 na kiwango cha sasa ni 150,000/= Rate ya Dollar ni $1750
So Mshahara wa 45,000/= ni sawa na Dollar $90 ----1996
Na Mshahara wa 150,000/= ni Sawa na Dollar $86 ----2011
HApo Sasa Mshahara Umepanda au Umeshuka???
Ni kweli kipo chini ya wizara yake lakini nafikiri SUMATRA ndio wanamamlaka ya kupanga bei wakishirikisha wadau. Suala linalomwandama Mgufuri hapa ni kauli ameshindwa kuwasilisha hoja yake kwa maskini lakini nauli kuwa 200 sifikirii kwamba ni tatizo kubwa. Hii inatufundisha viongozi wanatakiwa wachunge midomo yao kwani siku moja tu unaweza ukaharibu sifa zako zote
ni magufuri n0t maguduri,
hata wakija wapya wataiba
Live Channel Ten Mbunge wa Kigamboni Anamuumbua live Live Magufuli na Wazara yake kuwa Hawana haki ya kuongeza Nauli Mpya kwani hiyo mamlaka amaepewa EWURA tena lazima Wadau washirikishwe...
Malima alisema Upandishaji huu hautamguza Raia wa Kawaida? Sasa wenye Guta nao ni Matajiri?Hebu fikiria baiskeli ya miguu mitatu kutoka 200 hadi 1800 ongezeko la sh ngapi ukilinganisha na gari ndogo kutoka 800 hadi 1300. Nani anaumia hapa kama sio mlalahoi, tabu iendelee tu watu tutie akili!