BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Pole sana mkuu, Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu kukabiliana na kifo cha mzazi wako. Apumzike kwa amani!
Nje ya topic..:samahani:hand:
We @Magulumangu, ile avetari yako tuliyoizowea iko wapi bana?...rudisha ile kiongozi wetu!