Pole tena mdogo wangu.Ndugu zangu sijui nisemeje nilikuwa najililia mwenyewe toka jana usiku nikifikiri takuwaje ukijua kuwa huku umangani jpili siku yakazi ndipo niandike barua na sisi tuishio kwa kuajiliwa mpaka bosi aseme kwa kujibu barua lkn nashukuru kwani naona kila kitu kinaenda sw naamini kesho j2 nitatafuta ticket tayari kurudi nyumbani, najisikia huzuni lkn ndiyo maisha sina ujanja wa kupanda magari nakuunganisha,
ningependa kumwambia mmoja wa ndugu zangu, mie kwetu Dodoma, wilaya ya Kongwa Kijiji cha Golani lkn yeye amezikwa kijiji cha karibu Iduo.
Ndugu zangu sijui nisemeje nilikuwa najililia mwenyewe toka jana usiku nikifikiri takuwaje ukijua kuwa huku umangani jpili siku yakazi ndipo niandike barua na sisi tuishio kwa kuajiliwa mpaka bosi aseme kwa kujibu barua lkn nashukuru kwani naona kila kitu kinaenda sw naamini kesho j2 nitatafuta ticket tayari kurudi nyumbani, najisikia huzuni lkn ndiyo maisha sina ujanja wa kupanda magari nakuunganisha,
ningependa kumwambia mmoja wa ndugu zangu, mie kwetu Dodoma, wilaya ya Kongwa Kijiji cha Golani lkn yeye amezikwa kijiji cha karibu Iduo.
Ahsante sana broda!Pole sana, tukipata nafasi tutakuja kukupokea.
Ndugu yenu nimefiwa na baba yangu jana tar. 18/2/2011 muda wa saa 11 jioni kwa habari toka kwa ndugu zangu,
mimi ndugu yenu nipo nje ya TZ, ni vizuri kukaa mbali lkn yanapotokea mambo kama haya inaumiza sn, natamani ningekuwa nyumbani ningewahi mazishi kwani mazazi wangu amefia kijijini kwetu na nimbali na motuary, inaniuma sn kwani sitakuja uona uso wa baba yangu.
Hapa jamvini ni kwetu sote ni vema kupeana habari hizi.
Mungu awabariki sana.
Chamkey.