Jennifer Deonatus Danga
Member
- Apr 11, 2007
- 5
- 0
Kwa faida ya mwanao mfuate mmeo Kibaha au mshawishi arudi Dar. Tumia njia ya maombi tu na si vinginevyo. Ikishindikana sana kaa utulie ulee mwanao na muombe Mwenyezi Mungu pekee atakusaidia, hakuna haja ya kuhangaika na wanaume utakufa uache mwanao mdogo Mungu atakujalia mme uliye ubavu wake. KWANI NI LAZIMA UWE NA MWANAUME?
Danga
Danga