Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Habari zenu GT.
Nmetumiwa sasa hivi taarifa na ndugu yangu amempata mchumba kupitia hii mitandao kua amesoma profile yake na amegundua ni mtu makini. Sasa kilichotokea huyo mchumba ni wakike amemwambia asitoe siri maana atamtumia $ million kadhaa katika acount yake...halafu achukue kidogo amtumie kwa ajili ya safari ili amfuate alipo!
Je inawezekana au ndugu yangu wanataka kumwibia?
Maana mchumba mwenyewe yuko Senegal!
Namuwakilisha!
Nmetumiwa sasa hivi taarifa na ndugu yangu amempata mchumba kupitia hii mitandao kua amesoma profile yake na amegundua ni mtu makini. Sasa kilichotokea huyo mchumba ni wakike amemwambia asitoe siri maana atamtumia $ million kadhaa katika acount yake...halafu achukue kidogo amtumie kwa ajili ya safari ili amfuate alipo!
Je inawezekana au ndugu yangu wanataka kumwibia?
Maana mchumba mwenyewe yuko Senegal!
Namuwakilisha!