Habari zenu,
Nina binamu yangu kafaulu anataka kuomba mkopo bodi ya elimu ya juu lakini kuna mzazi wake mmoja ana ulemavu wa masikio(kiziwi) katika fomu ya mikopo anatakiwa kujaza taarifa za mzazi mwenye ulemavu ambapo ameshauriwa kwenda hospital ili kupata uthibitisho.
Tatizo lipo hapa kipindi cha nyuma 2019 mzazi wake alikuwa anafanya matibabu ya masikio katika hospitali binafsi na anathibitisho na vipimo wa taarifa za ulemavu wake wameenda hospital ya manispaa wanamwambia aanze mwanzo kabisa wa matibabu yani aonane na daktari wa masikio kwa uthibitishokitu ambacho kinakuwa ngumu sababu gharama zinaanza upya(kwa sasa hana bima) je ile karatasi ya mwanzo ya hospital private haiwezi thibitisha?
Je, akienda kwa daktari wa kawaida na karatasi ya uthibitisho ya hospital ya private je hawezi thibitisha?
Na je uthibitisho wa hospitali ya manispaa kwenye fomu ya mikopo inakubaliwa au mpaka wa wilaya na mkoa tu?
Nina binamu yangu kafaulu anataka kuomba mkopo bodi ya elimu ya juu lakini kuna mzazi wake mmoja ana ulemavu wa masikio(kiziwi) katika fomu ya mikopo anatakiwa kujaza taarifa za mzazi mwenye ulemavu ambapo ameshauriwa kwenda hospital ili kupata uthibitisho.
Tatizo lipo hapa kipindi cha nyuma 2019 mzazi wake alikuwa anafanya matibabu ya masikio katika hospitali binafsi na anathibitisho na vipimo wa taarifa za ulemavu wake wameenda hospital ya manispaa wanamwambia aanze mwanzo kabisa wa matibabu yani aonane na daktari wa masikio kwa uthibitishokitu ambacho kinakuwa ngumu sababu gharama zinaanza upya(kwa sasa hana bima) je ile karatasi ya mwanzo ya hospital private haiwezi thibitisha?
Je, akienda kwa daktari wa kawaida na karatasi ya uthibitisho ya hospital ya private je hawezi thibitisha?
Na je uthibitisho wa hospitali ya manispaa kwenye fomu ya mikopo inakubaliwa au mpaka wa wilaya na mkoa tu?