Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Hali ngumu ya maisha kasheshe kweli Mkuu...
@ummu kulthum Nchi yako imekufa Siku nyingi tu tangu Baba Wa Taifa Hayati mwalimu julius Nyerere kujiuzulu na nchi nayo imekwenda na maji. Hakuna nchi huku kwetu kuna Misitu tu ya Wanyama wa Seringeti wazungu wanakuja huko kufanya Utalii hakuna kitu kingine cha zaidi. Tanzania inajulikana Duniani kwa jaili ya hao Wanyama waliopo Misituni tu, na hao Wanyama wakimalizika na Tanzania haitojulikana kamwe.hii nchi yangu Tanzania dah anyway nisije nika kufuru bure