johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,987
- 142,003
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania Chadema kimedai hali ya Maisha ni ngumu sana kwa Wananchi kumudu.
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD anasema maisha ni mazuri ndio sababu Magari mapya ni mengi barabarani.
Wewe Mwananchi hapo mtaani unaielezeaje hali ya Maisha kwa sasa?
Jumaa Mubarak 😀
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD anasema maisha ni mazuri ndio sababu Magari mapya ni mengi barabarani.
Wewe Mwananchi hapo mtaani unaielezeaje hali ya Maisha kwa sasa?
Jumaa Mubarak 😀