mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
Mimi naitwa mkulimamwema nimewaleteeni magimbi,matango na mihogo maana mna kasumba ya kutokuja kutusalimia kijijini na nimekuja mnipe hela nikanunue dawa ya wadudu wanaoharibu mazao maana mwaka huu tumelima shamba kubwa na bibi yenu.