Ndugu Harris Kapiga

Status
Not open for further replies.
HARRIS KAPIGA, sidhani kama ni shoga, ila anazo homons za kike kama walivyo wanaume wengi tu. ni kweli, wapo wanaume wengi sana wamezaliwa na homorn za kike lakini hawainamishwi. kwa upande wangu nimemfahamu kitambo sana tangu alipokuwa joy bringers kwa rwakatale, akaenda praise power radio, na hata siku yeye na mkewe (mkewe nakumbuka alikuwa daktari kama sikosei) walipotangaza uchumba siku hiyo nilikuwepo na hadi ndoa inafungwa nilikuwepo hata mkewe alipopata ujauzito mara ya kwanza nilimwona miaka hiyo nilikuwa nasali kwa rwakatale. ni kweli kwamba anazo homon za kike kwa sura na sauti na hata mapozi, lakini sidhani kama huo ni ushoga.

kitu pekee ambacho nilikuwa nakiona kwake tangu nimfahamu ambacho nafikiri nitamwambia ili ajirekebishe ni kwamba, kama alivyomwambia mkewe siku ile walipotoka honey moon walipokuja kutoa shukran baada ya kufunga ndoa na hata siku walipotangaza uchumba, nakumbuka yule mkewe aliseme "NAMSHUKURU MUNGU NIMEPATA MWANAUME MZURI". so its like, ni kweli hatuwezi kubisha hasa sisi wanaume kama mimi ambao sura zetu sio nzuri na huwa tunajihisi hatuvutii sana kwa sura kwa wanawake (mimi binafsi ni mweusi, mfupi kidogo na nina sura ya ukali kutokana na ugumu wa maisha niliopitia/kufiwa na wazazi na ndugu mara nyingi na frustration/depression nyingi za maisha).

anajijua kuwa wanawake watamsema kuwa yeye ni handsome, na kweli yeye ni handsome. sasa inaonekana kwasababu alishawahi kuambiwa na wanawake kuwa yeye ni handsome basi anaringa sana. kusema kweli harris anaringa sana, hata mapozi yake, sijui labda ndivyo alivyozaliwa, anapoongea anavyochezesha mdomo na kila kitu ni kama mtu aliyeambiwa wewe ni mzuri hivyo anauonyesha uzuri huo kwa watu.

binafsi sidhani kama harris ni punga, ila ninaomba, watu wamemsema sana kuhusu hili, anatakiwa kuwadhihirishia watu kuwa yeye sio punga. ANATAKIWA KUACHA MARA MOJA KUJIREMBA SANA, NIMEONA PICHA ZAKE SEHEMU NYINGI ANATINDA NYUSI, mara nyingi anakuwa sharobaro kupita maelezo.....mwanaume kama una pesa hata usipojikubua au kutinda nyusi wewe bado kidume tu, kwanini anajitinda nyusi? kwanini anajiparua na mapoda kama wadada? hauoni kama unapofanya hivyo ndivyo unavyozidi kuwadhihirishia watu kuwa wanachosema pengine ni cha kweli?hivi utamwomba Mungu akusafishe kwenye jambo hili wakati wewe bado unatinda nyusi, unapiga mascrub hadi poda why can't you change tukuone kwenye sura nyingine....unajisikiaje mzee unapotinda nyusi? hata kama wewe sio shoga lakini unapotinda nyusi kama wanavyofanyaga mashoga etc na wewe ni mlokole unautukanisha ulokole wote, ni sawa na mwanadada anavaa nguo mbaya za uchi halafu anasem mimi sio malaya, sio malaya wakati unavaa vibaya na unataka tukuamini? inawezekana sio malaya lakini kwa nguo zake watu wanaweza kuamini kuwa malaya na wakatukanisha ulokole wote. wewe umekuwa kioo cha jamii miaka mingi hata kwa wakristo chochote unachofanya na unavyoishi jua hauishi kwaajili yako tu unaishi kwa wakristo, ukijichubua unafanya watu waseme walokole kujichubua au kutinda nyusi wanaume ni sahihi wakati walokole halisi wote watapinga wanaume kutinda nyusi kama wewe...kwanini mzee...

sisi sote tuna dhami, mim mwenyewe nina dhambi nyingi pamoja na kwamba nilishawahi kuwa mlokole hapo kwa rwakatale zamani, naamini Mungu atanipokea na kunirejesha nikasali kwani nimemtenda Mungu dhambi sana, nimekuwa mzinzi nimemtenda mke wangu sana nimezaa nje ya ndoa mimi ni mchafu sio kwamba nakunyooshea kidole kwasababu mimi ni malaika hapana, sisi wote tu wenye dhambi, sasa naomba kama wewe sio punga, acha hizo swaga za kutinda nyusi na kujirembaremba halafu mwombe Mungu akusafishe, kama unasingiziwa Mungu atakusafisha, kama hausingiziwi acha mara moja.
 
Ahsanteee..maana watu tunahukumu tuuuuu bila kutanabaisha mambo.....
 
Nilisikiaga hizo tetesi kes Dada mmoja..aliwahi niambia Uwa anawatongoza wanaume wamfanye....sasa sijui ni kweli au nn
 
Kuna mtu hapo kashangaa iweje jamaa apigwe halafu na yeye apige??hao wa aina hiyo wapo...nimewahi kuwa na jamaa mmoja ughaibuni,tulikuwa tukisoma wote,yeye ni shoga lkn vilevile anawakwarua wanawake kawa kawaida...so unaweza kupumuliwa na wewe ukawa unawaramba wanawake
 
Jamanai nasikia alishaachana na mambo ya ushoga..... praise the Lord!


Harris namfahamu kipindi nasoma Azania.. alikuwa member wa CASFETA au JUWAKWATA.. kweli alikuwa na kashfa ya ushoga..
 
Hute bora umefafanua nlikuwa nshaanza kuamini si ndio huyu aliyeanzisha club ya kupiga nyimbo za injili?
 
Last edited by a moderator:
Nilisikiaga hizo tetesi kes Dada mmoja..aliwahi niambia Uwa anawatongoza wanaume wamfanye....sasa sijui ni kweli au nn
Sorry,

Huyu jamaa ni nani?
Yaani kwa hapa mjini ana title gani ya kumfanya ajadilike hapa jukwaani? ?
 
Jamani jamani!!!! Wakristo tunaaswa tusiwashuudie majirani zetu uongo. Je ni nani kati yetu mwenye ukweli halisi wa haya??? Nani wa kiume Harris alisha mtokea ndani ya jukwaa hili na kumtaka mapenzi??

Yani mtu kutaka kudhibitisha eti anasema nimesikia! !! Kwa nani? Aaaah..
 
Me nimesoma st.marry's huyu harris alikua ameajiriwa kama msimamizi wa ma bweni alikua na tabia za kike na alikua akitongoza wanafunzi wa kiume so huyu ni kweli ni shoga hasingiziwi na ndio maana alifukuzwa radio tumaini,wapo,kaenda cloudsfm kwa wenzake
 
Me nimesoma st.marry's huyu harris alikua ameajiriwa kama msimamizi wa ma bweni alikua na tabia za kike na alikua akitongoza wanafunzi wa kiume so huyu ni kweli ni shoga hasingiziwi na ndio maana alifukuzwa radio tumaini,wapo,kaenda cloudsfm kwa wenzake

Do u mean cloudsfm are gayz
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom