The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Dah....
shauri yako, usolijua ni kama usiku wa giza, bwabwa ilo.....Mbona ana family ni mume na ni baba,labda ni rumors tu kwa vile anajipenda sana.
Mmmh....jamaaani majungu.com ni noumaaa,hilo suala la yeye kuwa BOFLO hata mimi napinga. Nimefanya nae kazi STANBIC BANK -head offoce kabla hajaingia Clouds fm na alikuwa saafi tu. Wala hizo mambo za BOFLO hatukuziona au ndo kusema haifai kuwa msafi na mtanashati...au kwakuwa anaenda kufanya scrubin... muacheni kaka wa watu,ana familia yake na ina muheshimu kama nguzo ya familia.
I have known this dude over 10years now. Anamambo fulani hivi ambayo cyo ya kiume kivile which is normal these day but he is nt gay .
Nakuunga mkono bht. Harris ameharibu sana Gospel tracks. maneno mengiiiiii. na manyimbo yasiokuwa na ladha. CLOUDS MRUDISHENI BROTHER ALEX JAMANI Tunammiss sana
Mwita 25 huwa nikiiangaliaga list ya hao wafanyakazi na nikikompea na tuhuma zako nakosa majibu...........nway
so u want to tell me Ruge is something more....huh!! my hairs
Kaka kujipenda hadi ukatinda nyusi kama mwanamke mmmmh????????? hapo pana ulakini, sio kila punga hana uwezo wa kuzalisha miaka ya 90's nimefanya kazi kwenye shirika moja la umma kulikuwa na bwana mmoja anafanya kazi na mkewe offisi moja amini usiamini huyo papa alikuwa punga na chakuchelesha alikuwa anatembea na mwamnaume mwenzie wanaefanya kazi wote na mkewe nae akawa anatembea na mtu wa hapohapo kazini, kitu walichokifanya ni wale waliokuwa wanatembea na mke na mme wakawa marafiki sasa mmoja wao akiwa na hamu na mpenzi wake wanapanga kila mtuanamchukua wake wanatoka ila yule anaye tembea na mama anakuwa wakwanza kumrelease mama ili asishtukiwe then baada ya saa moja baba nae anaruhusiwa kurudi nyumbani. na hii habari karibu watu wote walikuwa wanajua pale ofisini ila kwao iliwekwa kama siri kubwa sana, huyo mama alizaa watoto 3 na huyo baba ambaye ni mume wa ndoa ya kanisani. hivyo basi usimsemee mwenzio kwani hujui undani wake
Stanbic kafanya kipindi kifupi sana kujustify conclusion yako. Usiusemee moyo!
Mbona ana family ni mume na ni baba,labda ni rumors tu kwa vile anajipenda sana.
Haiwezekani mwanaume ujirembe kama mwanamke then tubaki kukuita mwanaume. Huyu jamaa atakuwa ana matatizo.
Kuhusu swala la kuoa, kuna washkaji kibao wameoa na wanafamilia zao lakini ni machoko.
Yani we acha tu. Mi nakaribia kuacha kusikiliza hicho kipindi ambacho nilikuwa sikikosi. sasa si gospo traks, bali ni gospo talks maana longolongo zimekuwa ndo ada ya kipindiila sipendi kabisa anavyokiendesha kipindi cha gospo traks, it used to be my fav on sunday monings
anaongea saaaaana, na mambo ya kupaisha paisha watu
amenikera mpaka nammiss yule jamaa wa kabla yake!!!!