Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Habari za asubuhi wadau,
usiku wa leo nimeota ndoto za kutisha kweli. kwanza nimeota kuwa boss wangu anataka kuniua kwa risasa. ilikuwa hivi "nilikwenda msalani mara boss nae akaja kwenye choo cha kike,wakati bado nashangaa mara akatoa bastola kutaka kunishoot. nilipata upenyo wa kukimbia mpaka ofisi ya jirani ikawa pona yangu" nilistuka usingizini nikapuuza na kusali nikaendelea kulala. je ni nini maana yake?
usiku wa leo nimeota ndoto za kutisha kweli. kwanza nimeota kuwa boss wangu anataka kuniua kwa risasa. ilikuwa hivi "nilikwenda msalani mara boss nae akaja kwenye choo cha kike,wakati bado nashangaa mara akatoa bastola kutaka kunishoot. nilipata upenyo wa kukimbia mpaka ofisi ya jirani ikawa pona yangu" nilistuka usingizini nikapuuza na kusali nikaendelea kulala. je ni nini maana yake?