pole sana aisee!aaaaah hii kitu ya Acid bana ngoja nimwachie mwenyewe imenipotezea mchumba hivi hivi, vitu vya kizungu hivi.
pole sana aisee!
mi nilishajiandaa nikajua mwaka huu TUNAFINYA CHA PILAU....!na hivi dokta ana CRESTA ya kumbeba bwana haruc
Asante dia heri na kwako,,kazi ya chatrum ni tender yako:smile-big:
aisee kwa jeni kumekucha eeh?!Hahaha kumbe ile kitu haitakiwi uanze na mzigo wa chini a.k.a beere mm ndo nilipiga hizo nikaja kusuuza na hiyo kitu nikaambulia kuota dah, ila Dr. jana nilikuwa nae pale kwa Jeni korogwe
Hii imenitokea juzi kati wakuu nilikuwa na kifaa kipya ambacho nimekifukuzia takribani miaka 3 ndo juzi kati akaamua kuniachia nikague mali zangu huku nikimmwagia maahadi kem kem sasa siku hiyo nilikuwa nimekunywa sana kiasi cha kufanya ni uchape sana usingizi. Mchumba angu huyo akaniambia usiku wkt nimeuchapa usingizi akasema nilikuwa naota sweet vua basi kifuli na anadai kuwa nilikagua kidogo mewata zake sasa kila akiniangalia nimelala alafu naongea basi akaamua kunipa kibuti pale pale asubuhi lol ndoto zingine bana
Ha ha ha ha ngoja niifanyie kazi ndani ya wiki hii maana ninawamis sana
Hahaha kumbe ile kitu haitakiwi uanze na mzigo wa chini a.k.a beere mm ndo nilipiga hizo nikaja kusuuza na hiyo kitu nikaambulia kuota dah, ila Dr. jana nilikuwa nae pale kwa Jeni korogwe
Hii imenitokea juzi kati wakuu nilikuwa na kifaa kipya ambacho nimekifukuzia takribani miaka 3 ndo juzi kati akaamua kuniachia nikague mali zangu huku nikimmwagia maahadi kem kem sasa siku hiyo nilikuwa nimekunywa sana kiasi cha kufanya ni uchape sana usingizi. Mchumba angu huyo akaniambia usiku wkt nimeuchapa usingizi akasema nilikuwa naota sweet vua basi kifuli na anadai kuwa nilikagua kidogo mewata zake sasa kila akiniangalia nimelala alafu naongea basi akaamua kunipa kibuti pale pale asubuhi lol ndoto zingine bana
kwa hiyo ukaota demu avue chupi wakati ulishamvua tayari au ulitaja jina.
huyo achana nae kama anaishi kwa maamuzi ya ndoto!
Bila shaka itakuwa ilikuwa pale maeneo ya TIP TOP karibia na AM HOTEL.
Home boy mbona kama kuna "kiarifu" kimejificha!Hii imenitokea juzi kati wakuu nilikuwa na kifaa kipya ambacho nimekifukuzia takribani miaka 3 ndo juzi kati akaamua kuniachia nikague mali zangu huku nikimmwagia maahadi kem kem sasa siku hiyo nilikuwa nimekunywa sana kiasi cha kufanya ni uchape sana usingizi. Mchumba angu huyo akaniambia usiku wkt nimeuchapa usingizi akasema nilikuwa naota sweet vua basi kifuli na anadai kuwa nilikagua kidogo mewata zake sasa kila akiniangalia nimelala alafu naongea basi akaamua kunipa kibuti pale pale asubuhi lol ndoto zingine bana
Bila shaka itakuwa ilikuwa pale maeneo ya TIP TOP karibia na AM HOTEL.
naona kila nikisoma cpati connection...kwa hiyo amekasirika wewe kuota au?Hommie kiarifu gani tena kimejificha ndani kwa ndani? nimesha mkosa tayari sasa hivi nafanya juu chini kumelejesha katia himaya
Pole pole TF - Unaweza kuharibu hivihivi - Maana ukweli mwingine siyo mzuri!