Gerad2008
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 583
- 287
The WORLD IS FALLING APART!!!!. Sina maelezo ya kuelezea uchafu huu ila ni HERI MARA MIA WABAKI NA HIYO WANAYOITA MISAADA YAO kama wanakotaka kutupeleka na kuvunja amri za mwenyenzi Mungu. Hawa waingereza ndo waliotuletea NENO LA MUNGU likiwa very PURE na leo kule kwao wamechakachua kila kitu sasa wanataka na sisi tuchakachue. TO HELL WITH THEIR DIRTY MONEY!!!!!!!!!!!!!!