Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,745
- 19,930
Pole sana ila huyo mkeo ni Futuhi kweli ugonjwa tu ndo humsaharishe kiapo chenu cha ndoa wala usihangaike nae we hangaika na kuundoa ugonjwa mwilini mi naudhika sana kwa nini Wabongo tunashindwa kuyaishi MAPENZI YA KWELI tumebaki kushupalia:makalio,hela,weupe,urefu bila kujua hayo mambo yanaweza badilika wakati wowote.Tujaribu kutohoa maudhui kutoka hata kwenye Movies umuhimu wa kumvumilia mwenzio apatapo matatizo haswa haya ambayo sio ya kujitakia.