Nimatumaini yangu hamjambo wote humu ndani na naheshimu sana busara zenu,mimi nimeoa na nina watoto 2, ndoa yangu imeingia doa na iko mashakani kuvunjika, kuna mwanaume nilikuta ujumbe wake kwenye simu ya mke wangu na nahisi wana mahusiano na inapelekea mke wangu kutaka tutengane, je kuna uwezekano nikienda TIGO kupata mwenendo wa mawasiliano kati ya watu hawa wawili ili niwe na uhakika na mbaya wangu, naombeni mawazo kwani nipo mbali na ofisi za hawa wandugu