Habari zenu wakuu.
Lengo moja kuu la kuoa/kuolewa ni kukulinda wewe mwanandoa na Magonjwa kwenye maisha yako.
Unapokuwa kwenye ndoa kula kavu ni suala la kawaida na ni jambo la msingi katika kuzaliana.
Maisha ya ndoa ni kuaminiana ndio maana watu walio kwenye ndoa huwa hawapimi mara kwa mara kwasababu wanaaminiana.
Ikitokea ukagundua Mume/Mke anakusaliti basi usisite kumuacha maana anaweza kuhatarisha usalama wa afya yako.
Kama unataka amani ya moyo na usalama wa afya yako basi usisite KUMUACHA MSALITI
NB: WAHUNI HAWAFAI KUISHI NAO KWENYE NDOA.
Lengo moja kuu la kuoa/kuolewa ni kukulinda wewe mwanandoa na Magonjwa kwenye maisha yako.
Unapokuwa kwenye ndoa kula kavu ni suala la kawaida na ni jambo la msingi katika kuzaliana.
Maisha ya ndoa ni kuaminiana ndio maana watu walio kwenye ndoa huwa hawapimi mara kwa mara kwasababu wanaaminiana.
Ikitokea ukagundua Mume/Mke anakusaliti basi usisite kumuacha maana anaweza kuhatarisha usalama wa afya yako.
Kama unataka amani ya moyo na usalama wa afya yako basi usisite KUMUACHA MSALITI
NB: WAHUNI HAWAFAI KUISHI NAO KWENYE NDOA.