Ndoa Hii Inaweza Kuvunjwa??

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,702
Heshima wakuu.....
Kuna kisa nimesimuliwa kutoka kijijini kwetu kilichompata binamu yangu wa kike mtoto wa shangazi.
Kafunga ndoa ya kikristo(katika madhehebu ya katoliki) miezi mitano iliyopita. Kwa kuwa hakuwahi kumegwa na huyo jamaa yake kabla ya ndoa hakujua nini kingetokea baadae. Baada ya muda ndipo aligundua kuwa jamaa hana uwezo wa kufanya kazi kabisa(jongoo hapandi mtungi). Hivi sasa anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa afanye nini, ameshauriwa arudi nyumbani ili taratibu nyingine zifuatwe lakini yeye hataki anaogopa kumdhalilisha huyo mume wake. Anataka ndoa ivunjwe kwa taratibu na sheria za kanisa ndipo ataondoka.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa sheria za ndoa (kanisa na serikali), je ndoa hii inaweza kuvunjwa???
Mchango wenu tafadhali...
 
Heshima wakuu.....
Kuna kisa nimesimuliwa kutoka kijijini kwetu kilichompata binamu yangu wa kike mtoto wa shangazi.
Kafunga ndoa ya kikristo(katika madhehebu ya katoliki) miezi mitano iliyopita. Kwa kuwa hakuwahi kumegwa na huyo jamaa yake kabla ya ndoa hakujua nini kingetokea baadae. Baada ya muda ndipo aligundua kuwa jamaa hana uwezo wa kufanya kazi kabisa(jongoo hapandi mtungi). Hivi sasa anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa afanye nini, ameshauriwa arudi nyumbani ili taratibu nyingine zifuatwe lakini yeye hataki anaogopa kumdhalilisha huyo mume wake. Anataka ndoa ivunjwe kwa taratibu na sheria za kanisa ndipo ataondoka.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa sheria za ndoa (kanisa na serikali), je ndoa hii inaweza kuvunjwa???
Mchango wenu tafadhali...

Si tuna Father Rev Masanilo humu ndani anaweza kutupa taratibu za Kuvunja Ndoa za Kikatoliki
 
Ndoa ni makubaliano kama makubaliano mengine..kuna hatua zinafuata kufanya makubaliano na kuna hatua zinafuatwa kuvunjwa hayo makubaliano.. Pia, Kumbuka kuna aina nyingi za makubaliano..Basi hata ndoa zipo za aina nyingi ..zipo za ki biashara ...zipo Ndoa za jina.. Ndoa za uroda nusu zipo.. ndoa feki zipo..

Sisi kama jamii porojo zetu hapa hazitawasaidia ..kila kitu kiko mikononi mwao na kwa utashi wao.. Kama wanataka kuachana ni matakwa yao na kama wanataka kuegemea kwenye imani ni uamuzi wao na ni juu yao kwenda huko kanisani kwao..kwani kanisa la letu hapa JF ni tofauti kidogo hawatalipenda....

At the end.. ni uamuzi wao kusuka au kunyoa ila wafuate utaratibu..hawakulazishwa kuoana..na ukiacha mambo ya imani hakuna anayewalazimisha kuendelea kuishi pamoja.. Kusema mmoja anamwonea huruma mwingine ni unafiki..kama kweli basi angekaa na siri yake na kuishia kuchezea dildo..
 
kuna mtoto wa dada yangu alipata kisa kama hicho yeye mume wake alikuwa ni katekista aligoma kutoa talaka kwa amani (kanisani) lakini mahakama ikaamua na kanisa likakubali kwamba ndoa ni batili kwani NDOA ni TENDO LA NDOA. sasa kwa ishu hiyo ni makubaliano yake yeye na mume wake kama yuko tayari kumpa talaka. inabidi alishirikishe kanisa na mumewe awe tayari ili asipate kizuizi.
 
kuna mtoto wa dada yangu alipata kisa kama hicho yeye mume wake alikuwa ni katekista aligoma kutoa talaka kwa amani (kanisani) lakini mahakama ikaamua na kanisa likakubali kwamba ndoa ni batili kwani NDOA ni TENDO LA NDOA. sasa kwa ishu hiyo ni makubaliano yake yeye na mume wake kama yuko tayari kumpa talaka. inabidi alishirikishe kanisa na mumewe awe tayari ili asipate kizuizi.

Kwa hiyo kumbe inawezekana kuvunjwa..
 
Hivi sasa anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa afanye nini, ameshauriwa arudi nyumbani ili taratibu nyingine zifuatwe lakini yeye hataki anaogopa kumdhalilisha huyo mume wake. ..

Ndugu yako ni mnafiki, kama anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa huko sio kumdhalilisha kama lengo ni kuficha aibu za huyu punga anayekaa naye? Na anapotaka taratibu zifuatwe haoni sasa ndio atazidi kumdhalilisha maana itabidi kuhusisha, kanisa, wazee na pengine mahakama?
 
Katavi inaweza kuvunjwa kama umewahi kuhudhuria ibada ya sakramenti ya ndoa ungekuwa na majibu na huyo ndugu yako sijui alikuwa hasikilizi Padri anasema nini?? Muulize kile kiapo anakikumbuka vizuri na Padri alimwambia nini atakuwa na jibu. Hata ukijiuliza tu swali rahisi kwanini inaitwa Tendo la Ndoa??? Ina maana ndoa bila tendo la ndoa HAIPO. Maoni yangu binafsi
 
haswaaaaa............KWA USHAURI WA BURE jamani SHAKE WELL BEFORE USE!!!! aibu za namna hiyo zisingetokea unauziwa mbuzi kwenye gunia hivi hivi LOL!!! ILA IM VERY SORRY FOR HER!!!!
kweli kabisa kwa ishu hii ni muhimu kutest kabla...
 
Si tuna Father Rev Masanilo humu ndani anaweza kutupa taratibu za Kuvunja Ndoa za Kikatoliki

huyu mchungaji siku hizi ana jazba kwel *2,....anyway sijui kama ataweza kuchunga kondoo wa bwana kama alivyoachiwa na mkuu wake wa kazi,...ngoja aje utaona
 
Heshima wakuu.....
Kuna kisa nimesimuliwa kutoka kijijini kwetu kilichompata binamu yangu wa kike mtoto wa shangazi.
Kafunga ndoa ya kikristo(katika madhehebu ya katoliki) miezi mitano iliyopita. Kwa kuwa hakuwahi kumegwa na huyo jamaa yake kabla ya ndoa hakujua nini kingetokea baadae. Baada ya muda ndipo aligundua kuwa jamaa hana uwezo wa kufanya kazi kabisa(jongoo hapandi mtungi). Hivi sasa anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa afanye nini, ameshauriwa arudi nyumbani ili taratibu nyingine zifuatwe lakini yeye hataki anaogopa kumdhalilisha huyo mume wake. Anataka ndoa ivunjwe kwa taratibu na sheria za kanisa ndipo ataondoka.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa sheria za ndoa (kanisa na serikali), je ndoa hii inaweza kuvunjwa???
Mchango wenu tafadhali...

Inavyojulikana mojawapo ya kigezo cha kujua kuwa ndoa ipo ni ile wenza baada ya kuoana wakaconsumate marriage yao yaani wakafanya sex katika usiku ule wa ndoa yao. Kama hilo halikutokea kwa sababu ya either matatizo ya mwanaume kutoweza kufanya sex na mke wake kutokana na matatizo ya kiafya kama kushindwa au kutokuwa na nguvu z akuweza kufanya hivyo au kwa mwanamke may be kwa kuwa na maumbilie madogo ambayo hayamtoshi mwenza wake so akashindwa kuconsumate marriage hicho kisheria ni kielelezo kuwa hakuna ndoa hapo na inaweza kuvunjwa. Aw3aone viongozi wake wa dini awajulishe na then aende mahakamani maana ndio yenye uamuzi wa mwisho kuvunja ndoa hiyo
 
Hii mambo ya kufuata utaratbu wa kzaman ilshapta...vyakula na mazngra ya maisha ye2 ya sasa yanachangia sana hv viungo muhm kugoma kaz. Nimuhmu ku"shake well before use" co unakurupuka toka ucngzn na kumeza dawa bla kuitksa kuhakksha imechanganyka vema..
Kama hlo halkutendeka na ushaimeza dawa na kuona imechakachuliwa ni jukum la m2miaj kujiulza je? Bado dawa hyo anaipenda au? Kama ndio bas doz inaendelea na kama hutak unafanya mbadala na hlo linawezekana.
KWAN DAWA ULIYONUNUA KWA MATBABU NA HAIJAKUTBU...KUNAHAJA GAN YA KUENDELEA KUIMEZA?
 
kuna mtoto wa dada yangu alipata kisa kama hicho yeye mume wake alikuwa ni katekista aligoma kutoa talaka kwa amani (kanisani) lakini mahakama ikaamua na kanisa likakubali kwamba ndoa ni batili kwani NDOA ni TENDO LA NDOA. sasa kwa ishu hiyo ni makubaliano yake yeye na mume wake kama yuko tayari kumpa talaka. inabidi alishirikishe kanisa na mumewe awe tayari ili asipate kizuizi.


Hahahaa, nimeuona umuhimu wa kuitest bidhaa kabla sijaibeba nyumbani. Naona hii habari ya vigezo na masharti kuzingatiwa + bidhaa ikishauzwa hairudishwi vitanishinda, lol
 
Heshima wakuu.....<br />
Kuna kisa nimesimuliwa kutoka kijijini kwetu kilichompata binamu yangu wa kike mtoto wa shangazi.<br />
Kafunga ndoa ya kikristo(katika madhehebu ya katoliki) miezi mitano iliyopita. Kwa kuwa hakuwahi kumegwa na huyo jamaa yake kabla ya ndoa hakujua nini kingetokea baadae. Baada ya muda ndipo aligundua kuwa jamaa hana uwezo wa kufanya kazi kabisa(jongoo hapandi mtungi). Hivi sasa anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa afanye nini, ameshauriwa arudi nyumbani ili taratibu nyingine zifuatwe lakini yeye hataki anaogopa kumdhalilisha huyo mume wake. Anataka ndoa ivunjwe kwa taratibu na sheria za kanisa ndipo ataondoka.<br />
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa sheria za ndoa (kanisa na serikali), je ndoa hii inaweza kuvunjwa???<br />
Mchango wenu tafadhali...
<br />
<br />
atakuwa mnafiki huyo binamu yako, kwani hakumbuki kama alimwambia atakuwa nae kwenye shida na raha? Sasa inakuaje atake kutumia taratibu za kuvunja ndoa? Aache ufala, amvumilie tu mume wake.
 
hahahaa, nimeuona umuhimu wa kuitest bidhaa kabla sijaibeba nyumbani. Naona hii habari ya vigezo na masharti kuzingatiwa + bidhaa ikishauzwa hairudishwi vitanishinda, lol

swali la kizushi hapo..
Umesha test bidhaa ngapi mpaka sasa???????lol
 
Napita tu. Mpe pole huyo binamu ako. Ange2mia kanuni ya SHAKE WELL BEFORE USE. Hata mm inaniuma kwani msela kaandaa haruc wakati anajijua ni impotence. Kama angekua muslim kwa sheria ze2 hakuna ndoa.
 
Napita tu. Mpe pole huyo binamu ako. Ange2mia kanuni ya SHAKE WELL BEFORE USE. Hata mm inaniuma kwani msela kaandaa haruc wakati anajijua ni impotence. Kama angekua muslim kwa sheria ze2 hakuna ndoa.

Dullah sio Muslim tuu hata kwa wengine hapo hakuna ndoa
Jamaa may be alijua anaweza kujaribu na ikakubali si unajua tena
 
Back
Top Bottom