wewe unahisi ni sahihi kbs kuvuta goma then ukalifanyie ukarabati .......aimo nduguno haiwezekani ikawa imeziba kwani operation hazipo?
no haiwezekani ikawa imeziba kwani operation hazipo?
habarini za mchana.ni hivi kwanini asilimia nyingi ya harusi zinazofungwa sasa hivi bibi harusi anakuwa ni mjamzito?kwani wana jf nisaidieni ili swali kwani haiwezekani kusubiri mpaka muingie kwenye ndoa ndio mualalishe kitendo?karibuni:A S 465:
pata picha umefukuzia mwaka then kakubali ndoa yaani wkt wa kwenda fungate mnaelekea muhimbili........aagh!! kweli rehearsal muhimuSasa gharama zote za operation zann? Si bora uchunguze kwanza kama bidhaa iko safi thn ununue.
hata dawa ina shake well before use + period ya uboyfrnd na ugalfrend inachukua muda .Bwana na bibi harusi walifunga ndoa, baada ya wiki moja wakapelekana kwa sheikh na mambo yalikuwa hivi.
Mume: Sheikh mimi wakati namuoa huyu dada nilidhani atakuwa () au (()) lakini kumbe ni ((((((((((())))))))))))) kwa hiyo sheikh mimi siwezi!!!!!!
Mke: Sheikh hata mimi wakati ananioa nilidhani ni --------------- au ------- lakini kumbe ni --, sheikh huku akilia mimi siwezi kabisa!!!!!!!
Sheikh akabaki mdomo wazi!!!!!
pata picha umefukuzia mwaka then kakubali ndoa yaani wkt wa kwenda fungate mnaelekea muhimbili........aagh!! kweli rehearsal muhimu
no haiwezekani ikawa imeziba kwani operation hazipo?
kwani kuna shida gani?
kYC- Know Your Customer