Ndio kashasema sasa

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Sep 24, 2012
822
370
Amueni vikaoni lkn huku wameshaamua yao

attachment.php


Chezea mgao wa bodaboda?
 

Attachments

  • 1392815189455.jpg
    1392815189455.jpg
    66.5 KB · Views: 993
Hiyo ni habari mchanganyiko, angesema Lowasa ni rais mwaka 2015 akaishia hapo hapo wala nisingepata shida lakini anaposema Lowasa ni rais mwaka 2015 then akamalizia na no comment maana yake inasumbua mukichwa changu.Is either Lowasa hafai kuwa rais mwaka 2015 ama Lowasa anafaa kuwa rais mwaka 2015 na hataki ubishi.So in short sijamjua mwandishi alikuwa anamaanisha nini
 
Labda akatafute nchi ya kugombea lakini siyo Tanganyika.
 
Amueni vikaoni lkn huku wameshaamua yao

attachment.php


Chezea mgao wa bodaboda?
Nani ameileta picha ya usafiri wangu humu jf?!. Huku ni kuiingilia privacy ya mtu!, ni kinyume cha sheria na ni kosa kisheria!. Naweza kuishitaki jf, nikalipwa mapesa mengi hivyo kuachana na usafiri wa boda boda na kununua bajaji au hata bajaja!.
Pasco
 
Back
Top Bottom