Mjasiria Akili
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 822
- 370
Amueni vikaoni lkn huku wameshaamua yao
Chezea mgao wa bodaboda?
Amueni vikaoni lkn huku wameshaamua yao
Labda akatafute nchi ya kugombea lakini siyo Tanganyika.
raisi wa chumbani kwake...
bora ya hata chumba waweza kukiongoza
yeye ni raisi wa kujikomboa toka ufisadini
Wewe ndio ukatafute nchi ya kuishi sasa, watanzania wameshaamua yao!
Nani ameileta picha ya usafiri wangu humu jf?!. Huku ni kuiingilia privacy ya mtu!, ni kinyume cha sheria na ni kosa kisheria!. Naweza kuishitaki jf, nikalipwa mapesa mengi hivyo kuachana na usafiri wa boda boda na kununua bajaji au hata bajaja!.Amueni vikaoni lkn huku wameshaamua yao
Chezea mgao wa bodaboda?
Mkuu Doti, umejuaje?!. Ni kweli hii ni piki piki yangu ila imepigwa picha bila ridhaa yangu!, nafanya utaratibu kuishitaki jf, kwa kuingilia privacy yangu!.'Bila shaka hii ni pikipiki / bodaboda ya mkuu Pasco
Wewe ndio ukatafute nchi ya kuishi sasa, watanzania wameshaamua yao!