mpingomkavu
Member
- Nov 26, 2010
- 94
- 0
kama laana huyu Mkwere amezipata sasa tusibiri zianze kazi utasikia siku moja na yeye kahamia CHADEMA.
Acha jazba makuu, hawa watu ni taratibu tu wataelewa. Haina mashaka ni kweli Ndesamburo alisema maneno hayo viwanja vya NMC Unga Ltd Arusha huku akilengwa lengwa na machozi baada ya polisi kuanza kupiga mabomu ya machozi na risasi hewani. Neno nilibold ni tusi.ww ****** unafanya nini huku? kauze ccm, CDM hatununui makalio yenye laana, puru lako
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani
Mbona jamaa ameandika kwamba maneno hayo yalisemwa tarehe 7/1/2011, hiyo tarehe 3 umeitoa wapi?
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani
Kijana wangu kikwete unanipiga mabomu?
Nina kadi ya TANU ,tulidai uhuru kwa mkoloni hatukupigwa mabomu!
Moto huu wa Chadema huuwezi!!
This Sad Words must pay the price
laana ni kwa chadema kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani
Its nonsense! It's a price of what you killed in MASWA! You had to pay for it. Hadn't you??
Duhh! sidhani kama kweli huyu jamaa aliyeanzisha hii post yuko makini. Mabomu wamepigwa tarehe 5 then gazeti la mwananchi la tarehe 3 liandike habari hii ya maneno ya Ndesamburo!!!! Please, verify????
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani
Duhh! sidhani kama kweli huyu jamaa aliyeanzisha hii post yuko makini. Mabomu wamepigwa tarehe 5 then gazeti la mwananchi la tarehe 3 liandike habari hii ya maneno ya Ndesamburo!!!! Please, verify????
yani wewe ndio hujui haki, wajibu taratibu wala sheriaLaana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani