Ndesamburo words to JK

Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani
Sheria ipi unaweza kutusaidia na wengine tusioijua pls.
 
Duhh! sidhani kama kweli huyu jamaa aliyeanzisha hii post yuko makini. Mabomu wamepigwa tarehe 5 then gazeti la mwananchi la tarehe 3 liandike habari hii ya maneno ya Ndesamburo!!!! Please, verify????

Mkuu Magafu, hiyo tarehe 3 umeiona wapi? Amesema source ni gazeti la mwananchi la tarehe 7-1-11 au nakosea?

Tiba
 
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani

ww ****** unafanya nini huku? kauze ccm, CDM hatununui makalio yenye laana, puru lako
 
Kijana wangu kikwete unanipiga mabomu?
Nina kadi ya TANU ,tulidai uhuru kwa mkoloni hatukupigwa mabomu!
Moto huu wa Chadema huuwezi!!
This Sad Words must pay the price

LAANA NYINGINE!
Hii ni laana nyingine kwa JK kwa kumwaga damu pia.
Akumbuke pia laana ya kutegemea na kukumbatia pepo, jambo ambalo hadi leo zinamdondosha majukwaani na inabidi popote alipo ulinzi uwe mara2.
Kwa maneno ya uchungu wa Mzee Ndesa, JK ategemee udhoofu zaidi.
 
Kijana wangu kikwete unanipiga mabomu?
Nina kadi ya TANU ,tulidai uhuru kwa mkoloni hatukupigwa mabomu!
Moto huu wa Chadema huuwezi!!
This Sad Words must pay the price

Angepigwa bomu angekuwa hai kusema hayo unayo yasema?
 
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani

mwenye hekima hanyamazishwi na mwenda wazimu, kafagie upenuni kwa mkwele wewe
si unaishi kwa msaada wa ccm
 
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani

Kabadilishe pedi ndio uje...
Unanuka...haya hebu tutokee hapa
 
Yaani ni ajabu kweli, mtu anachakachua hapa hapa mbele ya macho yetu, anamatatizo gani huyu kituko? Hii ni sawa na wale wanoajaribu kujadili chanzo cha fujo huku wakiona wazi kwenye vyombo vichache vya habari kwamba polisi ndio walioleta fujo lakini wao bado wanajaribu kutunga habari za hekaya za abunuwasi.
 
Kuna watu wengine humu ndani ni pumba mwanzo mwisho... Haya ndio mambo yanayowafanya viongozi wetu wafikirie kuwa Watanzania ndio watu wa hivi kwa asilimia kubwa... Hebu peleka pumba zako kwa mumeo na watoto wako ... Utawezaje kufananisha tarehe 7 na 3 ? Katoka wapi huyu mwehu ? Ovyoooo
 
magafu una makengeza au? mbona imeandikwa na inasomeka vizuri, gazeti la mwananchi ijumaa tarehe 7-1-2011
 
Duhh! sidhani kama kweli huyu jamaa aliyeanzisha hii post yuko makini. Mabomu wamepigwa tarehe 5 then gazeti la mwananchi la tarehe 3 liandike habari hii ya maneno ya Ndesamburo!!!! Please, verify????
Jamaa hata kuona tu kwako ni shida, umeambiwa gazeti la mwanachi tarehe saba january elfu mbili na kumi na moja. Sio tarehe tatu unayotunga wewe. Vaa miwani, soma vizuri halafu toa comments zako na umlaani JK kwa kupiga mabomu wazee wake.
 
Noted.. but pia ijumaa haikuwa tarehe 3

Mtoa mada alifanya marekebisho. Amekuwa muungwana kuonesha ukweli ila naona wengi hatukupitia vyema post zake!!

Hivyo sina makengeza ndugu zangu... ndicho alichokuwa ameandika ....hahahaha!!!
 
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani

hivi wewe mirembe ulitoroka au ulipewa dischaji halali na mfagiaji?
 
Laana ni kwa CHADEMA kwa kutosikia yale yaliyoelekezwa kwao kwa mujibu wa sheria. Na vilevile kwa kujichukulia sheria mkononi kudai haki kwa nguvu pasipo kwenda mahakamani


Naona msemo wa "kutotii amri halali ya polisi" "au kutofuata utaratibu na kanuni" ndiyo kisingizio kukubwa cha polisi kuua watu! hawa polisi wetu hawana akili ya kitu kiitwacho 'common sense' yaani kutoa maamuzi ya busara kutokana na hali inavyojitokeza. Huwa wanajiendea utafikiri misanamu iliyotiwa funguo.

Wakati wa kampeni huko Mwanza, baada ya mkutano wa Dr Slaa, wananchi waliamua kulisukuma gari lake mitaani kuelekea hotelini alikofikia. Watu walikuwa wengi sana na polisi wakataka kuingilia kuzuia kwa kupiga mabomu ya machozi n.k. Dr Slaa akasimamisha msafara na kuwaambia polisi watumie busara -- wawaache wananchi ama sivyo kunaweza kutokea vurugu na watu kuumia bila sababu za msingi.

Polisi walimsikiliza, hawakuingilia msafara kwa mabomu na badala yake waliuwekea na kuushindikiza kwa ulinzi mkali hadi ulipoishia. Kila kiti kiawa salama na shwari.

Sasa hawa polisi huko Arusha wanataka kutuambia nini? Walishindwa ku-read mood ya hali jinsi iliyojitokeza na kua-act accordingly kuepusha janga? Walikwenda kama sanamu eti tu kwa sababu ya "kutotii amri halali?"
 
Walimtoa Basilio Matei kwa sababu za kisiasa wakamleta Andengenye akidhi matakwa yao,but ajue A town si sawa na mji kasoro bahari,pale watu wameamka siku nyingi na nusu yao wameshaosha macho nairobi
 
Yeye Jk anaona amefika mwisho wa safari..lakini ajue msemo usemao mpanda ngazi hushuka! atawakuta wanamsubiri ..labda ajiyeyushe kama Balali
 
Back
Top Bottom