yeye anataka kuswaidia wa jimbo lake iwe shabiki wa cdm au ccm
hajasema kadi za chama zinatumika kama kitambulisho.
Hili ni funzo kwa watu wasiopenda kujiandikisha kupiga kura
wewe unajichanganya nashauri uridie kuisoma post yangu kwa utulivu.kitambulisho cha mpiga kura si cha chama..tuko pamoja soma vizuri
Ndesa
hapo fikiria mara mbili mzee wa ngu kumbuka sio waote walaiofanikiwa kupata hivi vitamublisho vya kihuni.....waligawa wanavyojua wao kwa muda wao iweje mtu anatoka moshi unambagua ugonjwa wake kwa kitambulisho cha kura..yawezekana alimpigia wa ccm....nakutakia mema na baraka ktk msada wako
polesana m nshakunywa maji yangu .sikunyingi karibu kiteto
Mleta hoja anahoji kutumia kitambulisho cha mpiga kura kwa kuwa kati ya Watanzania 40 million waliojiandikisha kama wapiga kura ni 12 million sawa na 30%. Kwa takwimu hizi Mh Ndesamburo anapotumia kitambulisho cha mpiga kura kuandikisha wanaohitaji tiba kuna 70% ya wakazi wa Moshi Mjini ambao hawajajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura watakosa hii fursa ya kwenda kupata tiba hii.
vp mzee na ww ulitaka kupelekwa nn?kwa akili ya kawaida km huna kitambulisho njia pekee ya kukutambuluisha kwamba ww ni mkazi wa jimbo lake ni kwenda na barua ya serikali ya mtaa,hamna ubaguzi wa chama hapo ndio maana akasema kitambulisho cha kupiga kura ambacho kinatumika kwa sasa sehem nyingi km kitambulisho cha makazi na uraia kwa ujumla
Fikiria mara nyingi bingwa kabla ya kupost thread zako,usikurupuke tu !!!!!