Hamas wasema wako tayari kwa suluhu na kwa vita pia.Waziita juhudi za Biden kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Viongozi wawili wakubwa wa Hamas wamezipuuza jjuhudi za Marekani kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu.

Basem Naim akiwa nchini Uturuki ameyapuuza matamshi ya raisi Biden aliyotoa juzi wakati akila askirimu aliposema makubaliano baina ya Hamas na Israel yanatarajiwa kufikiwa ifikapo Jumatatu ijayo.

Kiongozi huyo alisema Marekani haina nia safi na wapalestina kwani wakati wakisema hayo ndio wao wanaopiga kura ya veto Umoja wa mataifa kupinga kusitishwa kwa vita.

Wakiyasema hayo wao pia ndio walioidhinisha dola bilioni 14 kama msaada kwa Israel na hawajasita kupeleka shehena za misaada ya silaha kwa Israel.

Kwa upande wake Ismail Haniyeh amezungumza akiwa Beirut nchini Lebanon,kuwa ni jukumu la nchi za kiarabu kuzuia vifo vya wapalestina kwa njaa kutokana na kuzuiwa kwa makusudi kufikishwa chakula kwenye maeneo ya Gaza.

Haniyeh akaongeza kwa kusema kuwa japo watu wake wanapenda suluhu ili vita viishe lakini kama madai yao ya msingi yasiposikilizwa basi bado wana uwezo wa kuendelea kupigana na Israel.

Miongoni mwa madai yao ambayo hayawezi kubadilika katika makubaliano yoyote yale na Israel ni pamoja na kusitishwa kwa vita na kuondoshwa vikosi vya Israel kutoka Gaza moja kwa moja.

Hamas chief Haniyeh says group showing flexibility in talks but ready to continue fight

Gaza ceasefire deal with Israel still not close, says senior Hamas official

 
Hamas wanachekesha wanaanzisha vita wenyewe na israel wanaanza kulia lia na lawama wanapeleka kwa Marekani na nchi za kiarabu walitegemea waichokoze israel halafu dunia ije iwatete na kuwaonea huruma wapalestina huku wakiendelea kuwashikilia raia wa israel kama mateka wao
 
Viongozi wawili wakubwa wa Hamas wamezipuuza jjuhudi za Marekani kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu.

Basem Naim akiwa nchini Uturuki ameyapuuza matamshi ya raisi Biden aliyotoa juzi wakati akila askirimu aliposema makubaliano baina ya Hamas na Israel yanatarajiwa kufikiwa ifikapo Jumatatu ijayo.

Kiongozi huyo alisema Marekani haina nia safi na wapalestina kwani wakati wakisema hayo ndio wao wanaopiga kura ya veto Umoja wa mataifa kupinga kusitishwa kwa vita.

Wakiyasema hayo wao pia ndio walioidhinisha dola bilioni 14 kama msaada kwa Israel na hawajasita kupeleka shehena za misaada ya silaha kwa Israel.

Kwa upande wake Ismail Haniyeh amezungumza akiwa Beirut nchini Lebanon,kuwa ni jukumu la nchi za kiarabu kuzuia vifo vya wapalestina kwa njaa kutokana na kuzuiwa kwa makusudi kufikishwa chakula kwenye maeneo ya Gaza.

Haniyeh akaongeza kwa kusema kuwa japo watu wake wanapenda suluhu ili vita viishe lakini kama madai yao ya msingi yasiposikilizwa basi bado wana uwezo wa kuendelea kupigana na Israel.

Miongoni mwa madai yao ambayo hayawezi kubadilika katika makubaliano yoyote yale na Israel ni pamoja na kusitishwa kwa vita na kuondoshwa vikosi vya Israel kutoka Gaza moja kwa moja.

Hamas chief Haniyeh says group showing flexibility in talks but ready to continue fight

Gaza ceasefire deal with Israel still not close, says senior Hamas official

Kwani hamas tangu lini hawataki hii vita? Wao waliitaka tangu 7/10/2023. Hivyo mtu yeyote anayetaka cease fire wanamshangaa
 
Hamas wanachekesha wanaanzisha vita wenyewe na israel wanaanza kulia lia na lawama wanapeleka kwa Marekani na nchi za kiarabu walitegemea waichokoze israel halafu dunia ije iwatete na kuwaonea huruma wapalestina huku wakiendelea kuwashikilia raia wa israel kama mateka wao
Si magaidi ya humu jamii forum yanasema Hamas ameshinda vita. Sasa vilio vya cease fire vinatoka wapi?
 
Hamas wanachekesha wanaanzisha vita wenyewe na israel wanaanza kulia lia na lawama wanapeleka kwa Marekani na nchi za kiarabu walitegemea waichokoze israel halafu dunia ije iwatete na kuwaonea huruma wapalestina huku wakiendelea kuwashikilia raia wa israel kama mateka wao
Kumbe unajua kuwa mateka wa Israel wanashikiliwa na Hamas.
Huu ni mwezi wa tano Hamas wapo na mateka hawajawatoa na Israel haijawapata
Ukifikiri vizuri kuna ujumbe utaupata kuhsusu Israel na Hamas
 
Ila Hamas wamechakazwa sasa hivi hawana ubavu wa kurusha roket hata moja, naamini hawatarudia tena
Hawatarudia tena wapi

Israel wametamka wazi Hamas Palestina haitakuwepoi forever.Baada ya Hamas kuondolewa eneo linakabidhiwa kwa Raisi wa Palestine Mahamoud Abbas Raisi halali wa Palestina anayetambuliwa na jumuiya ya kimataifa

Hamas ndio kwa heri ya kuonana kama ilivyokuwa kwa Alkaeda na wao ndio wamefikia tamati
 
Hawatarudia tena wapi

Israel wametamka wazi Hamas Palestina haitakuwepoi forever.Baada ya Hamas kuondolewa eneo linakabidhiwa kwa Raisi wa Palestine Mahamoud Abbas Raisi halali wa Palestina anayetambuliwa na jumuiya ya kimataifa

Hamas ndio kwa heri ya kuonana kama ilivyokuwa kwa Alkaeda na wao ndio wamefikia tamati
Hayo majina wala hayana umuhimu kwao.Wanachotaka ni uhuru wa Palestina.
 
Kumbe unajua kuwa mateka wa Israel wanashikiliwa na Hamas.
Huu ni mwezi wa tano Hamas wapo na mateka hawajawatoa na Israel haijawapata
Ukifikiri vizuri kuna ujumbe utaupata kuhsusu Israel na Hamas
Mateka unaenda kushika raia wema wasiojua vita kama hamas wapo vizuri kwanini wasivamie makambi ya jeshi ya israel yateke wanajeshi wa israel?
 
Viongozi wawili wakubwa wa Hamas wamezipuuza jjuhudi za Marekani kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu.

Basem Naim akiwa nchini Uturuki ameyapuuza matamshi ya raisi Biden aliyotoa juzi wakati akila askirimu aliposema makubaliano baina ya Hamas na Israel yanatarajiwa kufikiwa ifikapo Jumatatu ijayo.

Kiongozi huyo alisema Marekani haina nia safi na wapalestina kwani wakati wakisema hayo ndio wao wanaopiga kura ya veto Umoja wa mataifa kupinga kusitishwa kwa vita.

Wakiyasema hayo wao pia ndio walioidhinisha dola bilioni 14 kama msaada kwa Israel na hawajasita kupeleka shehena za misaada ya silaha kwa Israel.

Kwa upande wake Ismail Haniyeh amezungumza akiwa Beirut nchini Lebanon,kuwa ni jukumu la nchi za kiarabu kuzuia vifo vya wapalestina kwa njaa kutokana na kuzuiwa kwa makusudi kufikishwa chakula kwenye maeneo ya Gaza.

Haniyeh akaongeza kwa kusema kuwa japo watu wake wanapenda suluhu ili vita viishe lakini kama madai yao ya msingi yasiposikilizwa basi bado wana uwezo wa kuendelea kupigana na Israel.

Miongoni mwa madai yao ambayo hayawezi kubadilika katika makubaliano yoyote yale na Israel ni pamoja na kusitishwa kwa vita na kuondoshwa vikosi vya Israel kutoka Gaza moja kwa moja.

Hamas chief Haniyeh says group showing flexibility in talks but ready to continue fight

Gaza ceasefire deal with Israel still not close, says senior Hamas official

Yeye yupo uturuki analala , anakula vizuri , gaza wanateketea.
 
Viongozi wawili wakubwa wa Hamas wamezipuuza jjuhudi za Marekani kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu.

Basem Naim akiwa nchini Uturuki ameyapuuza matamshi ya raisi Biden aliyotoa juzi wakati akila askirimu aliposema makubaliano baina ya Hamas na Israel yanatarajiwa kufikiwa ifikapo Jumatatu ijayo.

Kiongozi huyo alisema Marekani haina nia safi na wapalestina kwani wakati wakisema hayo ndio wao wanaopiga kura ya veto Umoja wa mataifa kupinga kusitishwa kwa vita.

Wakiyasema hayo wao pia ndio walioidhinisha dola bilioni 14 kama msaada kwa Israel na hawajasita kupeleka shehena za misaada ya silaha kwa Israel.

Kwa upande wake Ismail Haniyeh amezungumza akiwa Beirut nchini Lebanon,kuwa ni jukumu la nchi za kiarabu kuzuia vifo vya wapalestina kwa njaa kutokana na kuzuiwa kwa makusudi kufikishwa chakula kwenye maeneo ya Gaza.

Haniyeh akaongeza kwa kusema kuwa japo watu wake wanapenda suluhu ili vita viishe lakini kama madai yao ya msingi yasiposikilizwa basi bado wana uwezo wa kuendelea kupigana na Israel.

Miongoni mwa madai yao ambayo hayawezi kubadilika katika makubaliano yoyote yale na Israel ni pamoja na kusitishwa kwa vita na kuondoshwa vikosi vya Israel kutoka Gaza moja kwa moja.

Hamas chief Haniyeh says group showing flexibility in talks but ready to continue fight

Gaza ceasefire deal with Israel still not close, says senior Hamas official

Biden anatafuta Kura za Mashekhe huko Marekani. Baada ya uchaguzi wa Marekani, si Biden wala Trump atakayekuwa na habari za Palestina. Israel itakuwa haina shinikizo tena la kusitisha vita. HAMAS wangelikuwa na akili wangelitumia mwanya huu wa uchaguzi huko Marekani ili kufikia baadhi ya matakwa yao.
 
HAMAS wanaume, waendelee hivyo hivyo. Nachukizwa na wanaosema mara wame uwa watoto mara wanawake wasio na hatia. Huku ccm kuna UVCC na UWT na wote ni ma-CCM.
HAMAS kanyaga twende humo humo mpaka libaki vumbi.
 
Hamas wanachekesha wanaanzisha vita wenyewe na israel wanaanza kulia lia na lawama wanapeleka kwa Marekani na nchi za kiarabu walitegemea waichokoze israel halafu dunia ije iwatete na kuwaonea huruma wapalestina huku wakiendelea kuwashikilia raia wa israel kama mateka wao
Soma vizuri thread huenda ulikuwa unakula askirimu wakati unaandika, Hamas wanasema iwapo Israel wataendelea kujaribu kuishikilia Gaza hawatasimama ngoo watapambana kama unavyoona Israel wamechanganyikiwa sasa wanadai poo kupitia bwana wao US, walifikiri Hamas ni kikundi kidogo labda watawauwa kwenye siku mbili tatu hivi,

US kila siku anaisaidia Israel ambayo tuliambiwa Israel ni mabingwa wa vita sijui wana silaha kali mara hivi mara vile sasa wanadai poo wenyewe wanaomba Hamas
 
Back
Top Bottom